kwani yeye huyo jamaa yako alie zicheck hzo post alikwambia kua yeye amepangiwa wapi?
...mwezi wa neema ushawadia
kwani utoto ukoje mkuu...kila jambo linawezekana..kwa kuwa hukuangalia kwa wakati huo, huna la kupinga!
Acha uzushi majina ya Ajira huwa yanatoka katika filez za PDF ama DOC. so kama yangetoka watu wangekuwa wamesha Download kitambo. Ina maana TZ nzima ameyaona jamaako tu?
jamani mwezi huu hautapita ajira zitakuwa nje,ila kinachonichekesha heti ukaripoti na cheti cha kuzaliwa,wakati wanampatia mtu boom wailkuwa hawajui km ni mtz?
jamani mwezi huu hautapita ajira zitakuwa nje,ila kinachonichekesha heti ukaripoti na cheti cha kuzaliwa,wakati wanampatia mtu boom wailkuwa hawajui km ni mtz?
Nime kaa chumbani na rafiki yangu, mara akatumiwa sms post zimetoka waambie na wenzako, tembelea MOE, jamaa mbio mpaka kwenye simu lakin kutazama hakuna...
Tukaona labda kwa simu haionyeshi, washa PC nako hamna kitu, tulipo mpigia jamaa akaapia mara mbili mbili ni kweli yamewekwa na sio mtu wa matani !!
Akasema tumpe jina arudi cafe, ile anarudi akasema wamesha yatoa !!
Kwa hiyo mnao subiri mkae chonjo!!
teh teeh teeh eeeh...
kwani yeye huyo jamaa yako alie zicheck hzo post alikwambia kua yeye amepangiwa wapi?
mawazo yako wote wanasoma kwa mikopoo???
una maanisha nini mkuu?
Uzuri wake wanapeana presha wao kwa wao
jamani mwezi huu hautapita ajira zitakuwa nje,ila kinachonichekesha heti ukaripoti na cheti cha kuzaliwa,wakati wanampatia mtu boom wailkuwa hawajui km ni mtz?
jamani mwezi huu hautapita ajira zitakuwa nje,ila kinachonichekesha heti ukaripoti na cheti cha kuzaliwa,wakati wanampatia mtu boom wailkuwa hawajui km ni mtz?