Post (za ualimu) zimewekwa kama dakika 5 na zikaondolewa!

Acha uzushi majina ya Ajira huwa yanatoka katika filez za PDF ama DOC. so kama yangetoka watu wangekuwa wamesha Download kitambo. Ina maana TZ nzima ameyaona jamaako tu?

Fact, jamaa akajipange kuja kudanganya upya.
 
jamani mwezi huu hautapita ajira zitakuwa nje,ila kinachonichekesha heti ukaripoti na cheti cha kuzaliwa,wakati wanampatia mtu boom wailkuwa hawajui km ni mtz?
 
jamani mwezi huu hautapita ajira zitakuwa nje,ila kinachonichekesha heti ukaripoti na cheti cha kuzaliwa,wakati wanampatia mtu boom wailkuwa hawajui km ni mtz?

unauhakika mkuu siyo kukisia tu
 
jamani mwezi huu hautapita ajira zitakuwa nje,ila kinachonichekesha heti ukaripoti na cheti cha kuzaliwa,wakati wanampatia mtu boom wailkuwa hawajui km ni mtz?

Ulipewa mkopo bila cheti cha kuzaliwa?
 

teh teeh teeh eeeh...
 
bora niwe tomaso skuamini awaja weka acha kuwapa watu presha kama kuweka wataweka ndo kazi yao usiwe mzushi jiamini dogo
 
jamani mwezi huu hautapita ajira zitakuwa nje,ila kinachonichekesha heti ukaripoti na cheti cha kuzaliwa,wakati wanampatia mtu boom wailkuwa hawajui km ni mtz?

Kwani ww Unafikiri wote wamesoma Kwa Boom???


Kama wamekwambia uripoti na nyaraka kadhaa ni kufanya Recruitments na Confirmations juu ya majina yako n.k
 
jamani mwezi huu hautapita ajira zitakuwa nje,ila kinachonichekesha heti ukaripoti na cheti cha kuzaliwa,wakati wanampatia mtu boom wailkuwa hawajui km ni mtz?

Reasoning ya kitoto.. yani fikra zako zinakwambia kwamba watu wote wamesoma kwa bumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…