Post za walimu WALIO HITIMU vyuo VIKUU MWAKA 2013

Ukweli serikali aina pesa.ata mishahara ya wale waliopo kazini ni tatizo.pia ieleweke kwamba ,serikali yetu aijui kujipanga kama nchi nyingine!(wengine upanga waajiri wangapi mara baada ya wahitimu kumaliza shule so upanga bajeti yao mapema miezi 4au 6 kabla awajatoka shule)hapa kwa kweli majanga! Uenda bajeti yenu ikapitishwa mwEzi wa saba 2014/2015 budget na ikatekelezwa mwezi wa 9 au wa kumi 2014*huu ndo ukweli,labda utokeee muujiza
 
Haha! Mkuu polee wenzio tunauza chips!! Nimeskia aprili!! Loh

Nipe direction tafwazali. Nataka niyaonje mapishi yako kabla sijafanya maamuzi magumu.

Tunakabiliwa na uhaba wa walimu, na serikali inakabiliwa na uhaba wa mahela. Chipsi na ziheshimiwe na watu wote.
 
Nipe direction tafwazali. Nataka niyaonje mapishi yako kabla sijafanya maamuzi magumu.

Tunakabiliwa na uhaba wa walimu, na serikali inakabiliwa na uhaba wa mahela. Chipsi na ziheshimiwe na watu wote.

Kwani mwalimu wewe umeshastaafu?
 

kama ndo hivyo basi kweli majanga
 
nipe direction tafwazali. Nataka niyaonje mapishi yako kabla sijafanya maamuzi magumu.

Tunakabiliwa na uhaba wa walimu, na serikali inakabiliwa na uhaba wa mahela. Chipsi na ziheshimiwe na watu wote.

bora wewe unauza chips mkuu!
 
Nipe direction tafwazali. Nataka niyaonje mapishi yako kabla sijafanya maamuzi magumu.

Tunakabiliwa na uhaba wa walimu, na serikali inakabiliwa na uhaba wa mahela. Chipsi na ziheshimiwe na watu wote.

hahaha! Loh mkuu we acha tu bora uwe mjasiria viazi kuliko kusubiri hizo ajira za siri kali!! Njo niungishe mkuu wangu nipo mtaa mmoja hapa unaitwa chama bagamoyo road afu tamu hizo!!
 

mmmh! Unatupagawisha ujue!!
 
Serikali yetu haieleweki wakuu hapa nikukomaa tu mabingwa!!!
 
Unasubiri ajira,vibanda vya kubet huvioni? Mikeka ndo habari ya mjini kwa sie majobless,uzoefu hatuna,gpa sio first class.mtaji huna utafanyaje sasa.
 
Pole sana ndugu yangu kuwa na subira, ndo mambo ya serikali yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…