fareed uziel
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 657
- 710
Habari wakuu?
Kuna rafiki yangu aliniomba nimkaangie buni ya kahawa ya Kilimanjaro nimtumie ujerumani,sasa nimeenda pale postal EMS wamesema hawatumi kahawa mpaka kibali na wenyewe hawajui kinapatikana wapi.
Msaada wakuu kama kuna mtu anakijua hicho kibali Cha Nini na kinapatikana wapi anisaidie maana hii kahawa nisipoituma rafiki yangu atajua nimekula pesa yake bila kuamini changamoto iliyonikumba.
Dhl bei juu nimeshindwa.
Kuna rafiki yangu aliniomba nimkaangie buni ya kahawa ya Kilimanjaro nimtumie ujerumani,sasa nimeenda pale postal EMS wamesema hawatumi kahawa mpaka kibali na wenyewe hawajui kinapatikana wapi.
Msaada wakuu kama kuna mtu anakijua hicho kibali Cha Nini na kinapatikana wapi anisaidie maana hii kahawa nisipoituma rafiki yangu atajua nimekula pesa yake bila kuamini changamoto iliyonikumba.
Dhl bei juu nimeshindwa.