Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi kuna utofauti gani wa postgraduate, advanced diploma na masters?
wewe unataka usome nini?
ipo tofauti post graduate ni stashahada ya uzamili hii husomwa kama huna vigezo vya kusoma MASTERS ,, advanced diploma ni stashahada ya juu husomwa kama huna g.p.a ya kwenda degree, MASTERS ni degree ya pili
hujamuelewa nini.Soma tena post
ipo tofauti post graduate ni stashahada ya uzamili hii husomwa kama huna vigezo vya kusoma MASTERS ,, advanced diploma ni stashahada ya juu husomwa kama huna g.p.a ya kwenda degree, MASTERS ni degree ya pili
naomba kuuliza mkuu MASTERS huchukua muda gani kuisoma?
MASTERS Zipo za miezi 18 ,mpaka miezi 24 ,itategemea ni MASTERS GANI
Advanced diploma hapa imekosewa,kwa vyuo vinavyotumia system za National Technical Award (NACTE),mwaka wa kwanza n wa pili wa barchelor huitwa NTA 7A na NTA 7B ambayo ndiyo Advanced diploma,NTA 8 hiyo ndio mwisho wa Barchelor degree courseipo tofauti post graduate ni stashahada ya uzamili hii husomwa kama huna vigezo vya kusoma MASTERS ,, advanced diploma ni stashahada ya juu husomwa kama huna g.p.a ya kwenda degree, MASTERS ni degree ya pili
ipo tofauti post graduate ni stashahada ya uzamili hii husomwa kama huna vigezo vya kusoma MASTERS ,, advanced diploma ni stashahada ya juu husomwa kama huna g.p.a ya kwenda degree, MASTERS ni degree ya pili
GPA ya kwenda degree inapatikana katika level gani ya elimu na inaanzia kiwango gani? Hivi A-Level kuna mambo ya GPA?...advanced diploma ni stashahada ya juu husomwa kama huna g.p.a ya kwenda degree, ...
naomba kuuliza mkuu MASTERS huchukua muda gani kuisoma?
Kujifanya unajua matokeo yake unapotosha postgraduate imegawanyika sehemu mbili kuna moja kama mtu alikuwa na g.p.a ndogo na anampango wa kusoma masterz inabidi apitie na nyingine postgraduate ni ile mtu anataka kuchange fani aliyosomea mwanzo kwenye degree ya kwanza mfano ulisoma it ukaona soko la ajira gumu basi unasoma postgraduate ya education then unakuwa teacher wa it vyuon ama mtu alisoma pspa bt anawashi sana kuwa hour basi anasoma postgraduate anakuwa tayari na sifa za kuwa hr
Postgraduate = Kozi yoyote unayosoma baada ya kuwa Graduate/kutunukiwa Shahada ya Kwanza (ikiwa ni pamoja na Shahada ya Uzamili).
Postgraduate Diploma = Diploma inayosomwa na yeyote aliye na Shahada tayari
Advanced diploma hapa imekosewa,kwa vyuo vinavyotumia system za National Technical Award (NACTE),mwaka wa kwanza n wa pili wa barchelor huitwa NTA 7A na NTA 7B ambayo ndiyo Advanced diploma,NTA 8 hiyo ndio mwisho wa Barchelor degree course
System ya NACTE ipo hivi NTA 1,2 na 3 hiyo ndiyo level ya VETA,Ordinary diploma ina three exit level NTA 4 (Basic Technician Certificate),NTA 5 (Technician Certificate),NTA 6 (Ordinary Diploma)
Upande wa Barchelor una exit levels 2,ambazo ni NTA 7A na 7B (Advanced Diploma) n NTA 8 ambayo ni Barchelor
Baada ya hapo kuna masters ambayo ina exit level moja ambayo ni NTA 9A na 9B
Mwisho wa system hii ni PhD ambayo ni NTA 10
kujifanya unajua matokeo yake unapotosha postgraduate imegawanyika sehemu mbili kuna moja kama mtu alikuwa na g.p.a ndogo na anampango wa kusoma masterz inabidi apitie na nyingine postgraduate ni ile mtu anataka kuchange fani aliyosomea mwanzo kwenye degree ya kwanza mfano ulisoma it ukaona soko la ajira gumu basi unasoma postgraduate ya education then unakuwa teacher wa it vyuon ama mtu alisoma pspa bt anawashi sana kuwa hour basi anasoma postgraduate anakuwa tayari na sifa za kuwa hr