Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
Haiitwi Masters. Inaitwa Master. Kama una muda wa kutamka ita Master's Degree = Degree ya skill Mastery
Tafsiri ya neno master ni 1.mkuu 2.shahada ya pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiitwi Masters. Inaitwa Master. Kama una muda wa kutamka ita Master's Degree = Degree ya skill Mastery
naomba kuuliza mkuu MASTERS huchukua muda gani kuisoma?
Wewe ni mjinga ,na huna akili ulichoandika hakikuwa na upya wowoteSijakutukana kaka,naamini hilo halikuwa langu
Lengo sio nani anajua sana ila ni kueleweshana sisi kwa sisi pamoja na mleta uzi hapa
Mtu aliemaliza Diploma na kushindwa kupata GPA ya kutosha kufanya degree basi hutakiwa kufanya Mature age entry examination
Ahsante mjanja mwenye akili
ipo tofauti post graduate ni stashahada ya uzamili hii husomwa kama huna vigezo vya kusoma MASTERS ,, advanced diploma ni stashahada ya juu husomwa kama huna g.p.a ya kwenda degree, MASTERS ni degree ya pili
ipo tofauti post graduate ni stashahada ya uzamili hii husomwa kama huna vigezo vya kusoma MASTERS ,, advanced diploma ni stashahada ya juu husomwa kama huna g.p.a ya kwenda degree, MASTERS ni degree ya pili
Kazi kweli kweli. Kuna species hapa zisipobisha zinahisi deficiency. Hii character ni hatari sana hasa inapochanganywa na matusi hovyo hovyo. Usomi ni usafi wa kinywa jamani. Grow up!
Nasisitiza. Postgraduate = Mafunzo baada ya Bachelor. Hatuzungumzii mafunzo yaliyo kwenye mfumo usiorasmi kama ushonaji na lugha. Tunazungumzua Diploma, Shahada ya Uzamili, Uzamifu nk.
Postgraduate Diploma = Diploma baada ya Bachelor. Huwezi kuipata bila kuwa na Bachelor kama walivyoeleza wengine humu. Relevancy yake ni hasa kwa wanaotaka kusoma Master isiyohusiana na walichokisoma Undergraduate. Ni kama kutafuta qualification alingane na aliyesoma fani husika. Na si kwa aliyekosa sifa ya kuwa admitted undergraduate.
Sasa tusiconfuse watu kwa kudhani kwa kuwa baadhi ya vyuo vilivyokuwa vikitoa Advanced Diploma (zamani) vinawaadmit wahitimu hao kusoma PGD basi maana yake PGD ni kwa walioshindwa kupata Degree. Hasha!
UMEJITAHIDI KIdogo kufafanua
Postgraduate = Kozi yoyote unayosoma baada ya kuwa Graduate/kutunukiwa Shahada ya Kwanza (ikiwa ni pamoja na Shahada ya Uzamili).
Postgraduate Diploma = Diploma inayosomwa na yeyote aliye na Shahada tayari
Haiitwi Masters. Inaitwa Master. Kama una muda wa kutamka ita Master's Degree = Degree ya skill Mastery
Au atamke basi "shahada ya uzamili"
unaongea nini wewe
Sikia dogo wewe!
Shahada ya awali = Bachelor degree
shahada ya uzamili =master's Degree
shahada ya uzamivu=PhD e.i Doctor of Philosophy.
Bila Shaka umeelewa naongea nini Punda wa sembe wewe.
LIANGAKIE HUSOMI HATA COMMENTS ZANGU NIMESHAYAELEZEA WEWE Umekopy
Onesha nilipo copy wewe mbulula, bila Shaka wewe ni mpiga msuli wa kuvuta Bangi.
sasa umeandika nini sasa? ,mpuuzi wewe hujaongeza jipya lolote