postgraduate vs masters

postgraduate vs masters

mh! Kweli kazi ipo hapa; postgraduate ni masomo yoyote mtu anayopata baada ya kupata degree ya kwanza, inaweza kuwa master, diploma, phd or even certificat. Master ni kiwango cha juu cha kusomea zidi ya degree ya kwanza na chini cha phd. Kiswahili inaitwa degree ya uzamili, na wala sio degree ya pili kama watu wanavyopenda kukosea.
Postgraduate diploma ni elimu ya kiwango cha diploma anayopata mtu ambaye ana degree ya kwanza tayari. Advanced diploma ni kiwango cha elimu juu ya diploma ambayo inakaribia degree (equivalent to degree). Bila shaka utakuwa umepata hapo kitu kidogo mkuu mleta mada.

hamna jipya mkuu
 
In addition m2 aliyekosa qualification za kujiunga na NTA 4 atasoma Access course ambayo ni course ya miezi mi3 ambapo mwishoni watafanya mtihani na watakaopata alama zilizopangwa na chuo hupata nafac za kuingia NTA 4 (Diploma mwaka wa kwanza)
Waliokosa GPA za kutosha kujiunga na Barchelor hufanya mtihani wa mature age entry ambapo ukifaulu utaruhusiwa kujiunga degree na chuo husika
Waliokosa GPA za kutosha kufanya masters wanatakiwa kusoma Post graduate course ya mwaka mmoja ili kupata equivalent qualification ya kufanya Masters
Hop imeeleweka #naruhusu mabadiliko km nimekosea sehem


Mkuu mimi nina Advanced Diploma ya GPA 4.4 from IFM ninaweza kusoma master bila kupitia Postgraduate
 
Postgraduate = Kozi yoyote unayosoma baada ya kuwa Graduate/kutunukiwa Shahada ya Kwanza (ikiwa ni pamoja na Shahada ya Uzamili).

Postgraduate Diploma = Diploma inayosomwa na yeyote aliye na Shahada tayari

good!!!!mkuu umejibu vzr sn,watu wengi wanadhani post graduate ni lazima iwe post graduate diploma!!

Kumbe post graduate studies maana yake ni masomo baada ya kuhitimu shahada ya kwanza,

so post graduate studies yaweza kua post graduate diploma(stashahada ya uzamili),masters(shahada ya uzamili) au PhD (shahada ya uzamivu),hizi zote ni post graduate studies!!

So ni vema tukawa spesific na kusema post graduate diploma,na sio kusema post graduate tu ilhal tukimaanisha post graduate diploma,...hata masters na PhD nazo ni post graduate!!!
 
Kwanza mnatakiw mjue maana ya neno GRADUATE! graduate ni yeyote yule mwenye degree ya kwanza! Baada ya hapo kuna postgraduate. Hata PHD Ina postdoctoral ambayo ni masomo baada ya kuwa na PHD.
 
Postgraduate; hapo kuna maneno mawili..post na graduate, Post as a prefix means after, n graduate is first degree award.

postgraduate relating to or denoting a course of study undertaken after completing a first degree, source Concise Oxford English Dictionary eleventh edition. i.e master n phd
 
Kumbe tuko mamburula weng hum ndan?? Subir mm nikimalza masters yangu ndo nitakuja kuwaambia....

Nasoma MBA Finance juuuuuuuu
 
Back
Top Bottom