Postini motto ya shule uliyotoka tujue shule yako!

Postini motto ya shule uliyotoka tujue shule yako!

post: 44543086, member: 576640"][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah[/QUOTE]cocastic usiombe usome seminari alafu walimu wanaokufundisha ndiyo wale waliotoka familia za kimasikini ni unafiki na ukuda kwenda mbele .

Hapo bado hawajaanza kujipendekeza kwa wazazi wako , mara ooh maendeleo yako wamepewa jukumu na wazazi wako ni purukushani

Mwisho ni mwendo wa kutajiwa pair tu mara uko na kidenti cha form one mara cha form two hapo mwamba huko form six

Wewe acha motto wao wabaki nao uwachome.[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom