Postini motto ya shule uliyotoka tujue shule yako!

post: 44543086, member: 576640"][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
cocastic usiombe usome seminari alafu walimu wanaokufundisha ndiyo wale waliotoka familia za kimasikini ni unafiki na ukuda kwenda mbele .

Hapo bado hawajaanza kujipendekeza kwa wazazi wako , mara ooh maendeleo yako wamepewa jukumu na wazazi wako ni purukushani

Mwisho ni mwendo wa kutajiwa pair tu mara uko na kidenti cha form one mara cha form two hapo mwamba huko form six

Wewe acha motto wao wabaki nao uwachome.[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]Kuna seminary ya mixtures? Mbna sijawahi kujua hili.
Kheeeeeh bas hatareeee.
 
Kuna seminary ya mixtures? Mbna sijawahi kujua hili.
Kheeeeeh bas hatareeee.[/QUOTE]Zipo za kihunihuni za dar es salaam
Fuatilia utazijua zinajinasibu ati ni seminari ila ni magereza ya vijana wadogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…