mahenda255
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 513
- 691
Education hard work and defence
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe sumbawanga hamjabaki nyuma
Dah sinagogi asee, kule ndo nilijua ulokole, vipi ulanzi wa kule kijijini 🤠🤠Amon akinipeleka sinagogi kule aloo, nadhani atakuwa bado ni mpole na muadilifu sana mpaka sasa! Amon mwakalinga
Amon dini ilimgharimu sana mengine niishie hapa kwaleo 😂Amon akinipeleka sinagogi kule aloo, nadhani atakuwa bado ni mpole na muadilifu sana mpaka sasa! Amon mwakalinga
Simba high school
Kumbe Cassie mahaba umesoma Tambaza.Cheers mwana WuTamba mwenzangu...
Mama AY alipambana sana kuturekebisha na kutunyoosha...
Enzi za Azajangwa Vs Tambazana... [emoji91]
Hii tech ya wapi sio ya pale lumbila[emoji1]Nilikuwa pale 1988 mpaka 1991, group 4 (la umeme) enzi za Mbungi na Shabani (umeme), Mwakalindile (namba), Anand (mhindi wa namba), Trut, Mrs Mwakalindile (Chemistry), Mchili (Namba), Msigomba (Biology mwisho form two), Kitomari (Kiswahili), Saka, Mwampaja Headmaster niliyemkuta, akafuatiwa Nkondokaya. Na wengine wengi
Ifunda Tech. Lumbila ni wapi?Hii tech ya wapi sio ya pale lumbila[emoji1]
The Glorious...Skill and efficiency
ITSSThe Glorious...
Hakika mkuu, tumeupiga mwingi sana pale miaka hiyoITSS
Sana aisee memory za pale huwa hazipotei kichwani.Hakika mkuu, tumeupiga mwingi sana pale miaka hiyo