Postpaid internet connection kwa Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel

maduhuli

New Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
1
Reaction score
1
Wakuu Salaam,

Naomba msaada kujua mtandao gani kati ya Vodacom, Tigo, Airtel, na Halotel wana gharama nafuu ya POSTPAID INTERNET CONNECTION na wenye kasi nzuri.

Asante.
 
Wakuu Salaam,

Naomba msaada kujua mtandao gani kati ya Vodacom, Tigo, Airtel, na Halotel wana gharama nafuu ya POSTPAID INTERNET CONNECTION na wenye kasi nzuri.

Asante.
Katika matumizi yangu ya kawaida Vodacom wapo vizuri kuliko wote ila tatizo vifurushi vyao vimechangamka sana.
 
Tafuta airtel sme utakuja nishukuru
Wakuu Salaam,

Naomba msaada kujua mtandao gani kati ya Vodacom, Tigo, Airtel, na Halotel wana gharama nafuu ya POSTPAID INTERNET CONNECTION na wenye kasi nzuri.

Asante.
 
Hii inakuwaje? Packages & bei.
Hii unapiga *149*91# then unapata hivyo vifurushi. Kama unahitaji, nicheki ni-activate line yako BURE. Then uendelee kufurahia bando hizo.
 

Attachments

  • IMG-20250130-WA0001.jpg
    51.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_20250111-164123_Phone.jpg
    139.7 KB · Views: 2
  • Airtel SME.mp4
    1.3 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…