Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,887
Nimepitia kwenye site yenu. Hizi ndizo beiView attachment 884930Naivas sells it at 460 what of cheaper joints in rongai,kitengela..wacha ufala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepitia kwenye site yenu. Hizi ndizo beiView attachment 884930Naivas sells it at 460 what of cheaper joints in rongai,kitengela..wacha ufala
Ni maajabu makubwa hayaKuku hawajawahi panda bei.. ni uzushi tu! Tena hapa tunataja bei ambazo kuku yupo kwenye sahani tayari kwa kuliwa ila bado ni chini kulinganisha na Nai kwa huyo mwandishi alieandika hiyo taharifa. Ukonga kuku nusu ni 4000 hapo amesha kaangwa au kuchomwa! Maeneo mengine ina range 4000-5000. Kuna mtu anataja mahoteli hapa tuna ongelea sehemu za general.
Kijakazi wa maasai. Pathetic peasantApparently you think I give a rats ass about who you think I am. My first venture as a fresh eyed budding entrepreneur gave me big returns while I was still a freshman doing my undergraduate studies at The UoN. Digest that and get a fever.
Hakuna kitu mkenya anaweza kumuambia mtanzania juu ya ufugaji wa kukuyaani hawa wenzetu ni watu bongolala sana....serikali inapiga marufuku kuku toka nje ili wakulima wa ndani wainuke ila hata baada ya hayo yote wanashindwa kutosheleza soko😵😵...bure kabisa!...kumbe ule msemo wa wabongo kukosa ukakamavu ni kweli...these guys are not gogetters enough🙄🙄...ingekuwa kenya watu wangechamgamkia hio opportunity mpaka itii😀😀
[emoji1][emoji1][emoji1] Sawa Socialite.Kijakazi wa maasai. Pathetic peasant
Hizo zitakuwa bei za hotelini na supermarket lakini huku mitaani Dar kuku mzima alieandaliwa kwa chakula ni Tsh8000 hadi 10,000/- hawa broiler.Asante sana ndugu kuendelea kuelimisha jamii ya East Africa.
First of all we don't buy chicken in metric measurements. Ninashangaa sana huyu mtu kapata taarifa wapi.
Ni kwamba kwenye suala la gharama za maisha kwa ujumla Kenya haiwezi kutunishiana misuli na Tanzania, maisha tan ni rahisi kupita maelezo na labda ndio maana wanatuita wavivu sababu mtanzania hawazi kuhusu chakula kabisa labda awaze Ada za watoto au miradiHizo zitakuwa bei za hotelini na supermarket lakini huku mitaani Dar kuku mzima alieandaliwa kwa chakula ni Tsh8000 hadi 10,000/- hawa broiler.
Local markets kama Kisutu, Shekilango, Tandale, n.k. hiyo mikuku ya broiler ni mingi mteja unabembelezwa na wauzaji.
Hiyo shortage ni uzushi tu na agenda ya siri.
Nawajua vijana wengi sana huku Kenya ambao wamejishughulisha na kilimo biashara. Nadhani dhana ya kizimani ya ukulima kuchukuliwa kama nyanja ya wazee imefifia kwa sana.Mie nafuga na kulima ila maujanja yote napata kwa wakenya na warwanda yaani vijana wa hizi nchi wameamka sana. Is true kuna uhaba mkubwa wa vifaranga wa nyama kwa sasa
kilo ngapi? je ni broiler ama kienyeji?Nimepitia kwenye site yenu. Hizi ndizo bei
View attachment 884949
The market in the outskirts of Nairobi, Kajiado and Machakos Counties is flooded with chicken. All the big Companies breeding chicken have multiple farms stationed there, Kenchic, Sigma and others, on top of that alot of small scale farmers are doing serious chicken breeding. I know young farmers who are selling chicken meat at 300Ksh for a WHOLE mature broiler not a Kg. Infact if anyone is into that line of biz I can connect him to a guy.View attachment 884930Naivas sells it at 460 what of cheaper joints in rongai,kitengela..wacha ufala
alafu iweje mnaingiza toka kenya?😵😵plus shortage imetokana na nini? kuhusu bei, kuna mambo mengi yanahusika hapa..kwanza tanzania ni nchi LDC huwezi ukapandisha bei ya bidhaa muhimu ovyo ovyo...ni nani atanunua? Pili, Nairobi ni business hub you can't compare to any city in tz..this makes everything expensive including foodstuff...Hakuna kitu mkenya anaweza kumuambia mtanzania juu ya ufugaji wa kuku
Saivi biashara ya poultry 🐔 Tanzania ni home business ipo common mbaya kiasi kwamba kila nyumba kuna wafuga kuku sasa nyie tu bei ya kuku zenu ni ghali mara mbili ya Tanzania alafu ndio mje kuwafundisha watanzania namna ya kufuga?
Hii bei Kenya haitakaa itokee View attachment 884989
Yaah kwa sasa ndo kazi tunafanya and mind you ni kazi ambayo hupati usumbufu n watu tax and other levies kwana nao wako na yale mawazo ya kizamani kuwa huko mashambani wanakaa wazeeNawajua vijana wengi sana huku Kenya ambao wamejishughulisha na kilimo biashara. Nadhani dhana ya kizimani ya ukulima kuchukuliwa kama nyanja ya wazee imefifia kwa sana.
Siyo 14000 mkuuYani hili suala la kuku nalisikia kwenye mitandao tu. Nipo hapa Dodoma, Chako ni Chako ninavunja mifupa ya kuku aliyechomwa kwa Tsh 10,000 which = 440ksh.
Hivi kuku Marekani ni bei gani?alafu iweje mnaingiza toka kenya?😵😵plus shortage imetokana na nini? kuhusu bei, kuna mambo mengi yanahusika hapa..kwanza tanzania ni nchi LDC huwezi ukapandisha bei ya bidhaa muhimu ovyo ovyo...ni nani atanunua? Pili, Nairobi ni business hub you can't compare to any city in tz..this makes everything expensive including foodstuff...
Nawajua vijana wengi sana huku Kenya ambao wamejishughulisha na kilimo biashara. Nadhani dhana ya kizimani ya ukulima kuchukuliwa kama nyanja ya wazee imefifia kwa sana.
Vijana wa Kenya wamechelewa
Wenzao wa Tanzania shambani ndio next step baada ya University 🎓
Kwa namna walivyo na vichwa mawe hawataelewaWasipoelewa hapa basi.
Wasipoelewa hapa basi.
Nawashauri mpitie kwenye website za Seeds of Gold au mtizame vipindi vyao kwenye NTV, au jarida lao kwenye DailyNation. Kuna nyingine pia Smartfarm kwenye CitizenTv au MkulimaBora kwenye stesheni zingine na kwenye mitandao ya kijamii. Kwa wale wote ambao wapo serious na ukulima biashara, wakenya kwa watanzania, mtajifunza mengi sana kuhusu ukulima biashara wa kisasa kutoka kwa wakulima wa kikenya na pia wataalamu ambao wako supported na utafiti wa kisayansi na vetinary extension services. Aquaponics, ufugaji wa aina zote ukulima wa uyoga n.k, mtazipata kutoka kwa project hizo hapo. Cc. BLUE DOG
Vijana wa Kenya wamechelewa
Wenzao wa Tanzania shambani ndio next step baada ya University