Poultry Shortage In Dar and Tz after Import Ban from Kenya.

Poultry Shortage In Dar and Tz after Import Ban from Kenya.

Nawashauri mpitie kwenye website za Seeds of Gold au mtizame vipindi vyao kwenye NTV, au jarida lao kwenye DailyNation. Kuna nyingine pia Smartfarm kwenye CitizenTv au MkulimaBora kwenye stesheni zingine na kwenye mitandao ya kijamii. Kwa wale wote ambao wapo serious na ukulima biashara, wakenya kwa watanzania, mtajifunza mengi sana kuhusu ukulima biashara wa kisasa kutoka kwa wakulima wa kikenya na pia wataalamu ambao wako supported na utafiti wa kisayansi na vetinary extension services. Aquaponics, ufugaji wa aina zote ukulima wa uyoga n.k, mtazipata kutoka kwa project hizo hapo. Cc. BLUE DOG
Pwahahahaha!! Nani apoteze muda kuangalia vipindi vya NTV wakiongelea ukabila.
 
Pwahahahaha!! Nani apoteze muda kuangalia vipindi vya NTV wakiongelea ukabila.
T.v show zao utazipata pia youtube, kwa lugha ya kiswahili pia kama kiingereza kinakukanganya. Kuna mafunzo mengi sana kwa vijana kuhusu kilimo biashara, na practicals kutoka kwa mashamba ya kisasa huku Kenya. Zinafatiliwa sana hadi kwenye nchi zingine kama Nigeria na Ghana. Ila naelewa kwamba wewe ni mzee wa dar, tulia basi na uendelee tu kula chipsi mayai.
 
T.v show zao utazipata pia youtube, kwa lugha ya kiswahili pia kama kiingereza kinakukanganya. Kuna mafunzo mengi sana kwa vijana kuhusu kilimo biashara, na practicals kutoka kwa mashamba ya kisasa huku Kenya. Zinafatiliwa sana hadi kwenye nchi zingine kama Nigeria na Ghana. Ila naelewa kwamba wewe ni mzee wa dar, tulia basi na uendelee tu kula chipsi mayai.
Sasa kwa akili yako nchi modern kama Tanzania yenye TV shows za kisasa kabisa ianze kubabaikia TV shows za Kenya!?
Media zenu zipo na old fashion Gadgets.
 
Sasa kwa akili yako nchi modern kama Tanzania yenye TV shows za kisasa kabisa ianze kubabaikia TV shows za Kenya!?
Media zenu zipo na old fashion Gadgets.
Hahaa! [emoji1] Kweli kabisa mheshimiwa.
 
Nakuona unavojiliwaza kijana wa dar. Kuku wanafugwa kwa wingi sana Kenya hadi wanauzwa kama street food jioni mitaani. Wenyewe wanaziita spare part yaani ukitafa firigisi hamsini au drumstick ishirini za kupunguza stimu za kileo unauziwa on the spot.
Hhahah.spare part
 
yaani hawa wenzetu ni watu bongolala sana....serikali inapiga marufuku kuku toka nje ili wakulima wa ndani wainuke ila hata baada ya hayo yote wanashindwa kutosheleza soko😵😵...bure kabisa!...kumbe ule msemo wa wabongo kukosa ukakamavu ni kweli...these guys are not gogetters enough🙄🙄...ingekuwa kenya watu wangechamgamkia hio opportunity mpaka itii😀😀
Kama Ww ni mkulima Usingesubiri upate Habari JF ndo Ushituke...
 
It is all because of this fucken calles Tanzania under the dictatorship of looters by the name CCM. Firms are running bankrupt and the situation will get even worse in the near future but no one cares! All maCCMs will die while sticking index fingers in their anal orifices. Shame on you hooligans!!
 
Kwa hiyo wewe unaona hiyo bei ni ndogo au umetumwa kuyatetea maCCM yaliyovuruga biashara ya kuju hapa nchini?
Yani hili suala la kuku nalisikia kwenye mitandao tu. Nipo hapa Dodoma, Chako ni Chako ninavunja mifupa ya kuku aliyechomwa kwa Tsh 10,000 which = 440ksh.
 
Back
Top Bottom