Sitii, wala kuongeza neno, alichosema ni:
Kumbe tatizo ni kumpoteza huyu kijana?????? Waambie familia yako na wazazi waliyokuleta katika haya maisha huyu MTOTO kaletwa kwa makusudi maisha haya, ili kuleta ukombozi ya dhulma uliyokuwa unaleta kwenye Taifa hili, unatikiwa kujua Kwanza hili Taifa sasa Rais anaitwa John Pombe Magufuli.
NOTE: Nilisema sitii neno, nimeghairi!
Ni kwamba, Sallam sio mvumilivu kabisa, na kama Diamond angekuwa ndo Sallam, huko Instagram ingekuwa balaa kila siku!! Sallam asikie au ahisi kitu halafu anyamaze, thubutu!!
Kumbe tatizo ni kumpoteza huyu kijana?????? Waambie familia yako na wazazi waliyokuleta katika haya maisha huyu MTOTO kaletwa kwa makusudi maisha haya, ili kuleta ukombozi ya dhulma uliyokuwa unaleta kwenye Taifa hili, unatikiwa kujua Kwanza hili Taifa sasa Rais anaitwa John Pombe Magufuli.
NOTE: Nilisema sitii neno, nimeghairi!
Ni kwamba, Sallam sio mvumilivu kabisa, na kama Diamond angekuwa ndo Sallam, huko Instagram ingekuwa balaa kila siku!! Sallam asikie au ahisi kitu halafu anyamaze, thubutu!!