Wala sitaki sifa angalia hata comment zangu nyingine nlikuoba unakosea uposema bidhaa zotesiwezi kukosea naongea nlicho fanyia utafiti acheni unafiki wa kutaka sifa ambazo hazipo, tanzania siasa nyingi kuliko maendeleo na kibaya zaid tuna uongozi wa hovyo kabisa unao jali siasa kuliko maendeleo.
sisi ni watumiaji wa vitu vya watu wengine vilivyotengenezwa Tanzania hapa hapa kuanzia mabati,simenti,funiture,maji ya kunywa,nkwe na mke wako mlitengeneza nini !!
Hafu cha Pili unaongea kisaisa au kilaamu maana nisije nikawa najibizana na bavicha au uvccmsiwezi kukosea naongea nlicho fanyia utafiti acheni unafiki wa kutaka sifa ambazo hazipo, tanzania siasa nyingi kuliko maendeleo na kibaya zaid tuna uongozi wa hovyo kabisa unao jali siasa kuliko maendeleo.
Endelea kutumiasisi ni watumiaji wa vitu vya watu wengine vilivyotengenezwa Tanzania hapa hapa kuanzia mabati,simenti,funiture,maji ya kunywa,nk
Nyie naona mmeshaanza kuchanganyikiwa kwa kuua wapinzaniunacho kiweke hapa?
mfano.wako.wa.kitoto kabisa nahisi hata wwe ni mtoto bado, kwanini hamaki kuusikia.ukweli?? tanzania tu mabingwa bwa siasa na pesa nyingi sana inapotelea huko tena siasa za kipumbavu kabisaMaana ni sawa na mafundi 10 wanajenga nyumba, then watatu wanabomoa, yaan tofali 10 zikiwekwa on the spot wakati zile 10 zingine zikipanda, 3 zinabomolewa na hawa mafundi wengine. Wabomoaji ndo hawa tulionao humu na ciongozi wao kina mange, lissu na wengine so maendeleo yetu yatakuja kwa taratibu sana kwa sababu hiyo
Nasema hivi Bongo bahati mbaya. Shithole nazion.'Mnafiki ni wewe unayetukana nchi yako
Ikiuma sema...Mtoa mada utakuwa na mavi mdomoni. Hamia uganda sasa
Sawa tuma salamu kwa watu watatu.Binafsi naamini maneno huumba, kuna mzungu mmoja alipanda miti 2 akawa anaweka mbolea kila mti na kuumwagilia maji kila siku. Ila mti mmoja alikuwa akiutreat vizuri kwa maneno matam, na mwingine anautukana kila siku, amini usiamini ile miti ilikuwa inawasiliana maana alikuwa anapima na vipimo vyake na aliona huu mti uliokuwa unatukanwa kila siku afya yake ilikuwa dhoofu na huu mwingine ulikuwa na afya tela. Hivyo wengi mnaoisema vibaya tanzania, na matendo yenu yanaendana na mawazo yenu. Hivyo tanzania kufanikiwa ni vigumu kama nyie bado mpo.
Ulinichangia kununuaunacho kiweke hapa?
We kichwa cha panzi ameitukana nchi? Ujinga wa sizonje ndio nchi?Mnafiki ni wewe unayetukana nchi yako
Wewe utaendelea kulala sebuleni mpaka kiama chakoMtoa mada utakuwa na mavi mdomoni. Hamia uganda sasa
Hawafanyi kazi wanakula kwako hacha hizo.Watu hamfanyi kazi mnakaa kulalamika tu kila kukicha unafikiri maendeleo anayaleta magufuli peke yake?, nyie wananchi msipotaka kufanya kazi, kujituma maendeleo hayawezi kuja menyewe
Alikuwa anatafuta upenyo wa kuanza kutukana na kuharibu post.Mkuu hizo stress zako kaa nazo mwenyewe, sasa kosa la mtoa mada ni lipi? Inamaana hata asiwasifie majirani zetu kwa kazi nzuri waliofanya eti anatukana nchi yake?
Wewe utakuwa na roho mbaya sana kushinda wote. Hakuna tusi lolote mwenye maandiko yake, wewe unakuja na matatizo yako hapa jukwaani, wakati mwingine sio lazima kuandika hapa.
Kama unataka kusifia nchi yako, tafuta kizuri kilichofanyika kisha anzisha uzi wako wa kusifia ili tuje kuweka comment zetu lakini usianze kuweka matusi yako hapa