Unalosema ni kweli. Wachina ambao wamekuja hapa kuwekeza bidhaa ni duni mf mabati kuna kampuni ilianza kuwekeza Zambia baadae hapa. Ukiangalia bidhaa yao ni bora na bei nafuu. Wakati wote ni wachina.bidhaa za tanzania hazina ubora kabisaaaaa sababu mamlaka za viwango wala rushwa wakubwa, pakage za hovyo, ujazo wa hovyo, ubora wa.hovyo yaani kila kitu tanzania.hovyo kabisa
hata vyombo vya plastic vya tanzania hovyo kabisa vyepesi havina ubora beseni.bora ununue la kenya au uganda sio tanzania
Hiyo ni changamoto. Tulikuwa watengenezaji wazuri wa waya za umeme lakini sasa he. Tulikuwa na General Tyre lakini sasa iko wapi. Twambie bidhaa bora inayozalishwa hapa uone kama hatununui. Linganisha sabuni ya kuku, taifa na jamaa. Ukweli utakuweka huru.Tumekusikia marketing officer wa vitu vya watu wengine, hivi wewe au mama yako mlishawahi tengeneza chochote au ni watumiaji tu wa vitu vilivyotengenezwa na wengine?
Kachanganyikiwa.Kaibeza nchi gani mkuu?
Mnaishi nyumba moja?Sema pesa huna za kununua vipya unazo tu za kununua mitumba,mbaazi akikosa maua husingizia jua
Kumbe tunajadiliana na jini! Toka jini kisirani kwa jina la Yesu Kristo Mnazaret.Kila kitu ni cha hovyo pamoja na wewe wa hovyo pia ndo maana kila kitu cha hovyo
wewe kwei ini kisirani...yaani mtu kusifia cha jirani ushakasirika?,Lumuba akili zenu ni kununua madiwani na wabunge tuMtoa mada utakuwa na mavi mdomoni. Hamia uganda sasa
We utasifu mavi yako ni chakula wakati ni mavi tuNachukia sana mtu anayeibeza nchi yangu. Unaitukana nchi ambayo na wewe umo inamaana unajitukana na wewe hukohuko. So anayeweza kutukana kivuli chake mwenyewe ni kichaa tu. So na huyu naye ni kichaa
Inasemwa vibaya sasahivi. Mbona ni kitambo imedolora tunarudi nyuma tangu 1980s. Acha visingizio tafuta kiini cha matatizo yetu.Binafsi naamini maneno huumba, kuna mzungu mmoja alipanda miti 2 akawa anaweka mbolea kila mti na kuumwagilia maji kila siku. Ila mti mmoja alikuwa akiutreat vizuri kwa maneno matam, na mwingine anautukana kila siku, amini usiamini ile miti ilikuwa inawasiliana maana alikuwa anapima na vipimo vyake na aliona huu mti uliokuwa unatukanwa kila siku afya yake ilikuwa dhoofu na huu mwingine ulikuwa na afya tela. Hivyo wengi mnaoisema vibaya tanzania, na matendo yenu yanaendana na mawazo yenu. Hivyo tanzania kufanikiwa ni vigumu kama nyie bado mpo.
Tuonyeshe hata hiyo ya kukopi hili ije kuboreshwa.Kwangu mimi sishangai sana maana wamecopy na kupaste, wanatakiwa kuja na idea mpya kabisa ambayo haijafanywa Popote duniani..big up
Acha kujibizana na jini, Unapoteza muda.mfano.wako.wa.kitoto kabisa nahisi hata wwe ni mtoto bado, kwanini hamaki kuusikia.ukweli?? tanzania tu mabingwa bwa siasa na pesa nyingi sana inapotelea huko tena siasa za kipumbavu kabisa
Safi sana hivi ndio viwanda,sio kutuambia chereani zikiwa tano,ni kiwanda,A 88000mAH Power Bank Made In Uganda, Nilikua Sina Shida Ya Power Bank Lakini Nimenunua Ili Kuwaunga Mkono Majirani...Hivi Sasa Ndio Viwanda Sio Sisi Bla Bla Bla
View attachment 704543
View attachment 704544
Ujinga Wa Ujanani Ndio Umaskini Wa Uzeeni
mr mkiki.
Vp Mkuu,mbona povu sana?Watu hamfanyi kazi mnakaa kulalamika tu kila kukicha unafikiri maendeleo anayaleta magufuli peke yake?, nyie wananchi msipotaka kufanya kazi, kujituma maendeleo hayawezi kuja menyewe
Umemjibu sawa na upumbavu wake cuz Bible inasema "mjibu mpumbavu sawa na upumbavu wake"Babu Seya Alitakiwa Akulawiti Wewe Sio Wale Watoto ..Labda Akili Ingekaa Sawa !
Mkuu,mama yake kahusika vp tena kwenye hilo andko?Tumekusikia marketing officer wa vitu vya watu wengine, hivi wewe au mama yako mlishawahi tengeneza chochote au ni watumiaji tu wa vitu vilivyotengenezwa na wengine?
Mchina yuko kila mahali.A 88000mAH Power Bank Made In Uganda, Nilikua Sina Shida Ya Power Bank Lakini Nimenunua Ili Kuwaunga Mkono Majirani...Hivi Sasa Ndio Viwanda Sio Sisi Bla Bla Bla
View attachment 704543
View attachment 704544
Ujinga Wa Ujanani Ndio Umaskini Wa Uzeeni
mr mkiki.
bei shingapi??Ndugu mimi nimeziona Arusha so kama upo arusha utazipata
Mbona unachonga sana mdomo wewe hiyo ni fursa umeiona sasa si ujenge kiwanda wewe utajirike? Mijitu mibwege utaijua inajua sana kuona fursa lakini huishia kuongea tu vijiweni.Wekeza wewe au tafuta partners muwekeze.Usiwe kama profesa wa biashara ambaye hana peremende ya kuuza wala genge la kuuza hata fungu moja la nyanyaSafi sana hivi ndio viwanda,sio kutuambia chereani zikiwa tano,ni kiwanda,
Sio lazima,tutengeneze smart phone,tunaweza kuanzia na bidhaa za tekinolojia ndogo tu,viatu vya ngozi,viti vya plastic,batteries za radio,mpaka zile kubwa za 2000AH,zinazotumika kwenye minara ya simu,sasa HV zote zinatoka SA,
Hebu fikiria Betty ya 12V,170AH inahuzwa dola 600,tukiweza kuzalisha zote zinazotumika kwenye minara,pesa ngapi tutapata kupitia kodi,??badala ya kuhangaika kufunga viduka vya kina mama eti hawatumii machine za EFD,