Power bank made in Uganda. Hivi sasa ndio viwanda sio sisi Blah! Blah!

Mkuu hapa kwetu si unajua tena! Viwanda vinajegwa kwa kusweka wapinzani ndani, kununua wapinzani au hata "kuwaakwilinalize". Sasa ngoja kwanza tumalize upinzani halaf vikwazo vitakuwa vimeondoka na viwanda vitaibuka! Ha ha ha! What a dream!
Ili Kununua ndege lazima kwanza wengine wapotee na kufa, tutaweza? Kiiza Besije angekuwa Tanzania angeshakufa au kupotea siku nyingi
 
Nachukia sana mtu anayeibeza nchi yangu. Unaitukana nchi ambayo na wewe umo inamaana unajitukana na wewe hukohuko. So anayeweza kutukana kivuli chake mwenyewe ni kichaa tu. So na huyu naye ni kichaa
Hata watoto wanaweza kuichukia familia yao pia. Kwanini Waethopia wanaikimbia nchi yao kila siku? Kwanini kuna wahamiaji "haramu" huko ulaya na Marekana Na hata south Afrika? Mkuu jiongeze.
 
Hili ndilo tatizo la kusoma,shule za kata,unafikiri kila kiwanda unaweza kukianzisha kwa vijipesa vya madafu na smart phone,
Imechukua 40yrs ,dangote kufika hapo ilipo,
Fanya homework kidogo acha kuwashwa washwa,unaijua Petrobas?tafuta kwanza hiyo,usifikiri nchi zinapoanzisha makampuni,watu binafsi huwa hawapo,unahitaji funds za kutosha kuanzisha multinationals,BP,TOTAL,SHELL,unafikiri ni za MTU binafsi,?
 
Tumekusikia marketing officer wa vitu vya watu wengine, hivi wewe au mama yako mlishawahi tengeneza chochote au ni watumiaji tu wa vitu vilivyotengenezwa na wengine?
Samahani kwa kukutukania!
 
Teh teh teh mbomoaji yuko pale magogoni ana kipara kama sola panel...huyo ndiye mbomoaji!
 
Nna mashaka na uwezo wake, 88000 mAH?!!!...mmmh
 
Kwangu mimi sishangai sana maana wamecopy na kupaste, wanatakiwa kuja na idea mpya kabisa ambayo haijafanywa Popote duniani..big up
Yaelekea ni viwanda vya wachina tu wamevianzisha uganda mijitu humu inakuja kukatika viuno
 
Nachukia sana mtu anayeibeza nchi yangu. Unaitukana nchi ambayo na wewe umo inamaana unajitukana na wewe hukohuko. So anayeweza kutukana kivuli chake mwenyewe ni kichaa tu. So na huyu naye ni kichaa
Usipindishepindishe kama baba yake Bashite, lengo la mleta uzi ni kukichoma kichaka mlimojifichia/ viwanda hewa.
 
Mchina anaweza kukuandikia ata ndege "made in Masasi".
 
 
Kuamini kwamba Tanzania itakuwa nchi ya viwanda chini ya uongozi wa magufuli ni sawa na kwenda JKIA kusuburi pantoon ikupeleke kigamboni
 
Apo kwenye 88000mAH
umeibiwa hakuna mpaka sasa hivi power bank
yenye power hiyo

nakuhakikishia hiyo uwezo wake afadhari power bank yenye 11000mAH
ni bora kuliko hiyo

na ukitaka kujua kua ni kanyaboya power bank yenye 88000mAH
inazidiwa bei na power bank 11000mAH
25000mAH

kwa hiyo hata kimatumizi ni hivyo hivyo hizi za 11 na 25 ni bora kuliko hizo za 88
 
Hata uandishi wetu ni ovyo kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…