Ili Kununua ndege lazima kwanza wengine wapotee na kufa, tutaweza? Kiiza Besije angekuwa Tanzania angeshakufa au kupotea siku nyingiMkuu hapa kwetu si unajua tena! Viwanda vinajegwa kwa kusweka wapinzani ndani, kununua wapinzani au hata "kuwaakwilinalize". Sasa ngoja kwanza tumalize upinzani halaf vikwazo vitakuwa vimeondoka na viwanda vitaibuka! Ha ha ha! What a dream!
Hata watoto wanaweza kuichukia familia yao pia. Kwanini Waethopia wanaikimbia nchi yao kila siku? Kwanini kuna wahamiaji "haramu" huko ulaya na Marekana Na hata south Afrika? Mkuu jiongeze.Nachukia sana mtu anayeibeza nchi yangu. Unaitukana nchi ambayo na wewe umo inamaana unajitukana na wewe hukohuko. So anayeweza kutukana kivuli chake mwenyewe ni kichaa tu. So na huyu naye ni kichaa
Hili ndilo tatizo la kusoma,shule za kata,unafikiri kila kiwanda unaweza kukianzisha kwa vijipesa vya madafu na smart phone,Mbona unachonga sana mdomo wewe hiyo ni fursa umeiona sasa si ujenge kiwanda wewe utajirike? Mijitu mibwege utaijua inajua sana kuona fursa lakini huishia kuongea tu vijiweni.Wekeza wewe au tafuta partners muwekeze.Usiwe kama profesa wa biashara ambaye hana peremende ya kuuza wala genge la kuuza hata fungu moja la nyanya
Samahani kwa kukutukania!Tumekusikia marketing officer wa vitu vya watu wengine, hivi wewe au mama yako mlishawahi tengeneza chochote au ni watumiaji tu wa vitu vilivyotengenezwa na wengine?
Hata kama wanafungwa si wana viwanda? sisi tunafunga na viwanda hatuna, hapo ndipo tatizo lilipo!!Kwani uganda hawafungwi
Teh teh teh mbomoaji yuko pale magogoni ana kipara kama sola panel...huyo ndiye mbomoaji!Maana ni sawa na mafundi 10 wanajenga nyumba, then watatu wanabomoa, yaan tofali 10 zikiwekwa on the spot wakati zile 10 zingine zikipanda, 3 zinabomolewa na hawa mafundi wengine. Wabomoaji ndo hawa tulionao humu na ciongozi wao kina mange, lissu na wengine so maendeleo yetu yatakuja kwa taratibu sana kwa sababu hiyo
Yaelekea ni viwanda vya wachina tu wamevianzisha uganda mijitu humu inakuja kukatika viunoKwangu mimi sishangai sana maana wamecopy na kupaste, wanatakiwa kuja na idea mpya kabisa ambayo haijafanywa Popote duniani..big up
Usipindishepindishe kama baba yake Bashite, lengo la mleta uzi ni kukichoma kichaka mlimojifichia/ viwanda hewa.Nachukia sana mtu anayeibeza nchi yangu. Unaitukana nchi ambayo na wewe umo inamaana unajitukana na wewe hukohuko. So anayeweza kutukana kivuli chake mwenyewe ni kichaa tu. So na huyu naye ni kichaa
Matako wee jini kisiraniMtoa mada utakuwa na mavi mdomoni. Hamia uganda sasa
Bado mpo na jini?Matako wee jini kisirani
bidhaa za tanzania hazina ubora kabisaaaaa sababu mamlaka za viwango wala rushwa wakubwa, pakage za hovyo, ujazo wa hovyo, ubora wa.hovyo yaani kila kitu tanzania.hovyo kabisa
hata vyombo vya plastic vya tanzania hovyo kabisa vyepesi havina ubora beseni.bora ununue la kenya au uganda sio tanzania
akili emptyMchina anaweza kukuandikia ata ndege "made in Masasi".
Hata uandishi wetu ni ovyo kabisa...bidhaa za tanzania hazina ubora kabisaaaaa sababu mamlaka za viwango wala rushwa wakubwa, pakage za hovyo, ujazo wa hovyo, ubora wa.hovyo yaani kila kitu tanzania.hovyo kabisa
hata vyombo vya plastic vya tanzania hovyo kabisa vyepesi havina ubora beseni.bora ununue la kenya au uganda sio tanzania