Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Mahojiano yameanza dk.20 na.yanaendelea live power breakfast ua.clouds na Tundu lissu. Tutajazia nyama yanavyoendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lini hao Clouds wameanza kuwa wema kwa wapinzani? hivi hata Press conference za upinzani huwa wanatokea kweli?Mahojiano yameanza dk.20 na.yanaendelea live power breakfast ua.clouds na Tundu lissu. Tutajazia nyama yanavyoendelea
clouds hovyoo, bure kabisa!Matangazo mengi sana
Naona wamesema kuanzia saa 3 mpaka saa 4 ndo watapiga mfululizo bila matangazo maana watabakia youtube pekee, muda wa radio utakua umeshaishaclouds hovyoo, bure kabisa!
Lissu kalisema hili hapa mwishoni na kawapongeza sana kwanuamuzi wao huu wa leoNi lini hao Clouds wameanza kuwa wema kwa wapinzani? hivi hata Press conference za upinzani huwa wanatokea kweli?