Power breakfast live wamuhoji Tundu lissu

Power breakfast live wamuhoji Tundu lissu

Lissu anapojiongelea na ni wa chamani, je anapata baraka za Mwenyekiti wake kuongea kila dakika?

Au chama kimegawanyika kwenye uongozi?
 
Hawaulizi maswali magumu ya.lissu kutohudhuria vikao au kuitisha vikao kama makamu mwenyekiti.

Lissu mjanja anacontrol interview mara nyingi
 
Ni lini hao Clouds wameanza kuwa wema kwa wapinzani? hivi hata Press conference za upinzani huwa wanatokea kweli?
Lissu kalisema hili hapa mwishoni na kawapongeza sana kwanuamuzi wao huu wa leo
 
Kumhoji mwanasheria ni kazi sana unataka moyo usipo angalia unaweza kukuta unahojiwa wewe
 
Back
Top Bottom