Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Habari wakuu,
Power of Attorney ni kitu ambacho nimekuwa nakutana nacho mara kwa mara. Ni kitu ambacho kwa maoni yangu, si cha kawaida sana Tanzania kama ilivyo nchi za wenzetu. Inawezekana ni desturi yetu au inawezekana pia ni kwasababu wengi wetu hatuna uelewa wa kutosha kuhusu jambo hilo.
Kwa mujibu wa mtandao: A Power of Attorney is a legal agreement between two people in which one person is able to act on behalf of the other person.
Kwa nilivyoelewa (nakaribisha marekebisho) ni kumruhusu mtu mwingine kufanya maamuzi kwa niaba yako ikiwa huwezi kufanya hivyo mwenyewe.
Nina maswali kadhaa katika hili, naomba wanasheria na wanaoifahamu sheria mnisaidie:
1. Ikitokea nahitaji Power of Attorney, naanzia wapi? Yaani process nzima hadi naipata imekaaje?
2. Kama mtu ana Power of Attorney, anaweza kufanya maamuzi ya mwisho ikiwa mhusika au walio karibu naye hawakubaliani nae?
3. Ni vigezo gani huzingatiwa ili kumpa mtu Power of Attorney? Ni lazima mtu huyo awe mtaalamu wa sheria?
4. Hii Power of Attorney ina umuhimu gani especially kwa watu wa kawaida?
Ni hayo tu, asanteni kwa ushirikiano.
Power of Attorney ni kitu ambacho nimekuwa nakutana nacho mara kwa mara. Ni kitu ambacho kwa maoni yangu, si cha kawaida sana Tanzania kama ilivyo nchi za wenzetu. Inawezekana ni desturi yetu au inawezekana pia ni kwasababu wengi wetu hatuna uelewa wa kutosha kuhusu jambo hilo.
Kwa mujibu wa mtandao: A Power of Attorney is a legal agreement between two people in which one person is able to act on behalf of the other person.
Kwa nilivyoelewa (nakaribisha marekebisho) ni kumruhusu mtu mwingine kufanya maamuzi kwa niaba yako ikiwa huwezi kufanya hivyo mwenyewe.
Nina maswali kadhaa katika hili, naomba wanasheria na wanaoifahamu sheria mnisaidie:
1. Ikitokea nahitaji Power of Attorney, naanzia wapi? Yaani process nzima hadi naipata imekaaje?
2. Kama mtu ana Power of Attorney, anaweza kufanya maamuzi ya mwisho ikiwa mhusika au walio karibu naye hawakubaliani nae?
3. Ni vigezo gani huzingatiwa ili kumpa mtu Power of Attorney? Ni lazima mtu huyo awe mtaalamu wa sheria?
4. Hii Power of Attorney ina umuhimu gani especially kwa watu wa kawaida?
Ni hayo tu, asanteni kwa ushirikiano.