PPPC kuvuta mitaji ya $9bn

Ndiyo maana wanakimbilia kuwa wabunge ili wasikamatwe, nchi inanuka rushwa tupu
 
Sina mgogoro na PPP,ILA ninataka kujua ni kwa muda gani hawa watu wanapewa kuendesha hii miradi?

Hii mikataba isizidi miaka 10
HIlo la miaka 10 halitawezekana. Fikiria kampuni ijenge barabara ya kulipia kutoka Chalinze mpaka Kibaha, hao watumiaji watakuwa wanalipia kiasi gani kila wakipita, kiasi kwamba hela ya hiyo kamapuni itakayojenga irudi na hiyo kampuni ipate faida ndani ya miaka 10?

Kwa vyovyote hii miradi itakuwa ya ubia kwa miaka siyo chini ya 90, kama lilivyo jengo la Mlimani City.
 
Mkuu Mia770

Mkapa alifanya Ubinafsishaji lakini Samia anafanya Ubia,
Tofauti ya Ubia na ubinafsi ni kwamba,

Ubinafsishaji umiliki unabadilika
Ubia umiliki haubadiliki

Kuna baadhi ya ubinafsishaji ulikuwa ni ubia.
 
Hiyo ppp imebuniwa na wazungu na bado imewashinda! Ni unyonyaji wa kistaarabu furani!
Nimekaa paleee!
 
Mkuu Mia770

Mkapa alifanya Ubinafsishaji lakini Samia anafanya Ubia,
Tofauti ya Ubia na ubinafsi ni kwamba,

Ubinafsishaji umiliki unabadilika
Ubia umiliki haubadiliki
Mkapa alifanya kazi kubwa lazima tumuenzi lakini tuepuka yale yaliyomfelisha
 
Kazi ni nzuri
 
Hongera sana Rais SAMIA
 
Mkuu Sheria ya PPP MAX TERMS ni 25YRS

#MAMA SAMIA YUKO MAKINI SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…