Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
UMECHELEWA SANA KUIONA. SIYO ISSUE HII KWA SASA. IMETOKA MUDA TUKwa wale msioishi kwa mshahara, kuna Landcruise Prado mpya imetoka.Msisahau kutupa lift
View attachment 3028123
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UMECHELEWA SANA KUIONA. SIYO ISSUE HII KWA SASA. IMETOKA MUDA TUKwa wale msioishi kwa mshahara, kuna Landcruise Prado mpya imetoka.Msisahau kutupa lift
View attachment 3028123
Katika ku-design gari, ilifanywa kama miaka mitano iliyopita. Kwa hiyo hata kama umeiona mwaka jana, sio kwamba haijakuwapo.UMECHELEWA SANA KUIONA. SIYO ISSUE HII KWA SASA. IMETOKA MUDA TU
Hii nitanunua.Kwa wale msioishi kwa mshahara, kuna Landcruise Prado mpya imetoka.Msisahau kutupa lift
View attachment 3028123
Wewe umenielewa, veteran wewe! 😀 😀Unataka ukae karibu ubambie? Unajidai umekkosea gear mkono ukaenda kwingine.
Muda tu ipo barabarani. Yaani is issue mpya kwa sasa.Katika ku-design gari, ilifanywa kama miaka mitano iliyopita. Kwa hiyo hata kama umeiona mwaka jana, sio kwamba haijakuwapo.
Umeshaiona ikiwa barabarani Tanzania?
Unanunua alafu hupandi unaona tu ikipita sehemu ya spd 50 dereva wako asiyekujuwa anapita na 120.Utazinunua nyingi hizo bila kujua kuwa umenunua.
Aah! Nimeipenda.msioishi kwa mshahara, kuna Landcruise Prado mpya
Mkuu, hii ni gari ya China au Taifa gani? Naona wachina wana magari mazuri sana kimuonekanoNaona Toyota Land Cruiser Prado (2024) wameiga mwonekano wa BYD Leopard 5 (2023)
BYD Leopard 5 (2023)
View attachment 3028160
View attachment 3028163
Mkuu, hii ni gari ya China au Taifa gani? Naona wachina wana magari mazuri sana kimuonekano
Maisha ni safari ndefu ukiwa na malengo utafanikiwa, kopa benki Ingia shambani Lima/fuga dhamana mshahara wako toa sadaka hakika utapata gari ya size yakoHii nitanunua.
Hilo ni one million dollar question!Halina tatizo la kuchomoka tairi za mbele
No, cheki ngoma yao inaitwa FJ cruiser, nadhan wametoa concept hapoMfanano wa defender mpya
No chek Fj cruiser ya 2007/2008. Hii design toyota wanayo kitambo tuNaona walijaribu kuiga ile Land Rover Defender mpya ikashindikana.
Dah.. umejua kunitia moyo. Barikiwa sana. Natamani nikufahami. Au basi.Maisha ni safari ndefu ukiwa na malengo utafanikiwa, kopa benki Ingia shambani Lima/fuga dhamana mshahara wako toa sadaka hakika utapata gari ya size yako
Ww itakua mzee wa kupapasa papasa manyama nyama ya watoti wa wenzio hahahahahaaaTatizo la gari za siku hizi, zote zinakuwa designed kama kuna Covid, lazima mbele kuwe na social distance. Gari za zamani bwana mbele mngeweza kukaa zero distance 😀
View attachment 3028155