GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Muhimu umechangia kununua.Unanunua alafu hupandi unaona tu ikipita sehemu ya spd 50 dereva wako asiyekujuwa anapita na 120.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu umechangia kununua.Unanunua alafu hupandi unaona tu ikipita sehemu ya spd 50 dereva wako asiyekujuwa anapita na 120.
Ila hii inasaidia sana, lets say unamtoa mtoto Havoc mida ya saa tisa usiku, action inaanzia kwenye gari mkifika room utepetepe kama woteUnataka ukae karibu ubambie? Unajidai umekkosea gear mkono ukaenda kwingine.
Yaan nawashangaa sana mnaosema hii design toyota kaiiga. Toyota ana chuma inaitwa FJ cruiser, kaiangalie uje useme hapa nani kamuiga mwenzakeNaona Toyota Land Cruiser Prado (2024) wameiga mwonekano wa BYD Leopard 5 (2023)
BYD Leopard 5 (2023)
View attachment 3028160
View attachment 3028163
Yaan nawashangaa sana mnaosema hii design toyota kaiiga. Toyota ana chuma inaitwa FJ cruiser, kaiangalie uje useme hapa nani kamuiga mwenzake
Hii design toyota wanayo toka 2007
View attachment 3028234
Hio juu fj ya 2007 latest yake inatoka soon coz waliacha production baada ya financial crisis ya 2008. Concepts zake ukichek ndo utaelewa hii prado wamechukua designs wapi.
Na ni tabia ya toyota kureuse designs, cheki fortuner na hilux za 2009 hadi 2012 hv, hizo gari cabin nzima interior design ni ile ile
Na bado ukigongana na kipisi cha SCANIA kifo kipo palepaleee,mamamaaaaaaaeeeeeeeee
Hiyo ni land cruiser toleo jipya,Kwa wale msioishi kwa mshahara, kuna Landcruise Prado mpya imetoka. Msisahau kutupa lift
View attachment 3028123
Kuna gari zinaitwa Landcruiser, na Landcruiser Prado. Hii ni Landcruiser PradoHiyo ni land cruiser toleo jipya,
Kama wa Scania hafi basi tushauri watembelee Scania, kwa jinsi madereva wa ST walivyo na fujo!Na bado ukigongana na kipisi cha SCANIA kifo kipo palepaleee,mamamaaaaaaaeeeeeeeee
Tuendelee kushauriana, na kuwatia moyo vijana msikate tamaa WaTanzania Mungu alitupa ardhi kama Chifu Mkwawa alivyoilinda ardhi ya kusini Mikumi Iringa Mbeya tuitumie ardhi hii kujiajiri na kila kijana awe na ndoto za kupata usafiri anaopenda.Dah.. umejua kunitia moyo. Barikiwa sana. Natamani nikufahami. Au basi.
HahahaaaaaaKama wa Scania hafi basi tushauri watembelee Scania, kwa jinsi madereva wa ST walivyo na fujo!
Hao BYD ndio wezi waanzilishi kwa kuiiga Defender.Naona Toyota Land Cruiser Prado (2024) wameiga mwonekano wa BYD Leopard 5 (2023)
BYD Leopard 5 (2023)
View attachment 3028160
View attachment 3028163
Hao BYD ndio wezi waanzilishi kwa kuiiga Defender.
unapaki mahala unaweka utangulizi kimokooIla hii inasaidia sana, lets say unamtoa mtoto Havoc mida ya saa tisa usiku, action inaanzia kwenye gari mkifika room utepetepe kama wote
siachi, naogopa UTIUmeacha nyeto?
Kama Hana D mbili awez elewaUtazinunua nyingi hizo bila kujua kuwa umenunua.
Huko kulinganisha ndio utata wenyewe kama ilivyo kwa BYD na Prado ya sasa.Binafsi nilipoiona mara ya kwanza tu hiyo byd picha ilinijia ya defender kuna some appearance kama ni mdadisi utagundua.Kuna baadhi wanasema BYD Yangwang U8 inafanana na Land Rover Defender ila sio kweli kuna tofauti
Kumbe ni bei stahamilivuKwa South Africa inauzwa kama R1.5m, pamoja na ushuru. Hiyo ni kama Tshs 220M