Prague Half Marathon 2020 Kenya takes position 1 - 16 Men's race, position 1 - 8 in womens race

Prague Half Marathon 2020 Kenya takes position 1 - 16 Men's race, position 1 - 8 in womens race

Gwizzy

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2018
Posts
629
Reaction score
854
EhTNqUAWAAAuC1c.jpeg

From the official website
Screenshot_20200908-073246.png
Screenshot_20200908-073258.png
 
Iko siku tutakuja kupigwa ban ya hizi mbio maana sio kwa kufunika huku, jameni hadi nimecheka sana.

Itawekwa sheria kwamba hairuhusiwi Wakenya zaidi ya watatu.

Wazee wa ubwabwa, chips mayai na vigodoro haya mambo yalishwashinda, kazi yao kuponda na wivu tu, naona hata huu uzi tayari wameanza kutiririka chuki.

Kwao huko hamna wanaloliweza, hata muziki imebidi waokolewe na Warundi wa Kigoma.
 
Iko siku tutakuja kupigwa ban ya hizi mbio maana sio kwa kufunika huku, jameni hadi nimecheka sana.

Itawekwa sheria kwamba hairuhusiwi Wakenya zaidi ya watatu.

Wazee wa ubwabwa, chips mayai na vigodoro haya mambo yalishwashinda, kazi yao kuponda na wivu tu, naona hata huu uzi tayari wameanza kutiririka chuki.

Kwao huko hamna wanaloliweza, hata muziki imebidi waokolewe na Warundi wa Kigoma.
Tafadhali boss, hao ni Wakalenjin sio Wakenya. Mbio ni sehemu ya vinasaba vya Wakalenjin na Waoromo.
 
Tafadhali boss, hao ni Wakalenjin sio Wakenya. Mbio ni sehemu ya vinasaba vya Wakalenjin na Waoromo.

Hata hapa Tz sema hakuna scout nzuri ya vipaji vya riadha! Mambo yanakwenda kwa connection na kuishia kimjini mjini.. kuna waIraq, wamang`ati along the rift valley wako vizuri sana katika mbio sema wanakosa platform nzuri tu ya kuwaibua.

Tanzania kipindi cha kina Ikangaa, Nyambui na Bayi iling`ara sana kwenye mbio duniani. Saivi ujanja ujanja tu.
 
Hata hapa Tz sema hakuna scout nzuri ya vipaji vya riadha! Mambo yanakwenda kwa connection na kuishia kimjini mjini.. kuna waIraq, wamang`ati along the rift valley wako vizuri sana katika mbio sema wanakosa platform nzuri tu ya kuwaibua.

Tanzania kipindi cha kina Ikangaa, Nyambui na Bayi iling`ara sana kwenye mbio duniani. Saivi ujanja ujanja tu.

Kweli kabisa, Wairaqw na Wanyaturu wako vizuri kwenye mbio. Ingefanyika juhudi kidogo wangefika mbali.
 
Iko siku tutakuja kupigwa ban ya hizi mbio maana sio kwa kufunika huku, jameni hadi nimecheka sana.

Itawekwa sheria kwamba hairuhusiwi Wakenya zaidi ya watatu.

Wazee wa ubwabwa, chips mayai na vigodoro haya mambo yalishwashinda, kazi yao kuponda na wivu tu, naona hata huu uzi tayari wameanza kutiririka chuki.

Kwao huko hamna wanaloliweza, hata muziki imebidi waokolewe na Warundi wa Kigoma.

Hapa itabidi na coming election tumpatie Ruto nchi, maana ataikimbiza kwa uchumi na maendeleo. Kalenjin ni watu wa speed always. Kusema na kutenda.

Kalenjin wako vizuri kuongoza, kama walivyo vizuri kwenye sports.
 
Kweli kabisa, Wairaqw na Wanyaturu wako vizuri kwenye mbio. Ingefanyika juhudi kidogo wangefika mbali.
Hao ni wairaqw na wanyaturu sio watanzania. Wewe msukuma huna potential kwenye mchezo wowote isipokuwa tu kuvalia highwaist na kutafuna mita kama tano za miwa. 😀
 
Hao ni wairaqw na wanyaturu sio watanzania. Wewe msukuma huna potential kwenye mchezo wowote isipokuwa tu kuvalia highwaist na kutafuna mita kama tano za miwa. 😀

Mimi sio Msukuma wala sina uhusiano nao wa kinasaba.
 
Iko siku tutakuja kupigwa ban ya hizi mbio maana sio kwa kufunika huku, jameni hadi nimecheka sana.

Itawekwa sheria kwamba hairuhusiwi Wakenya zaidi ya watatu.

Wazee wa ubwabwa, chips mayai na vigodoro haya mambo yalishwashinda, kazi yao kuponda na wivu tu, naona hata huu uzi tayari wameanza kutiririka chuki.

Kwao huko hamna wanaloliweza, hata muziki imebidi waokolewe na Warundi wa Kigoma.....
Nyie mnachoweza ni mabio tu, mengine hamwezi.
 
Back
Top Bottom