Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Sina uhakika. Itabidi hiyo baiskeli iwe na vitairi vyaa pembeni kama zile za watoto illi kuzuia usiangukeNajua vizuri tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina uhakika. Itabidi hiyo baiskeli iwe na vitairi vyaa pembeni kama zile za watoto illi kuzuia usiangukeNajua vizuri tu.
Sina uhakika. Itabidi hiyo baiskeli iwe na vitairi vyaa pembeni kama zile za watoto illi kuzuia usianguke
Basi nitakufanyia mpango baiskeli ya phoneixx zile za wasukuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BFF usinitafutie sababu bwana!
Basi nitakufanyia mpango baiskeli ya phoneixx zile za wasukuma
Hahaha bestt inamana wewe aandunjee kiasi hicho? Basi ile za gia zitaakufaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizo ndefu sana jamani[emoji134][emoji134]
Best mie sio andunje ila huko ni kunionea. Hizo za gia sasa ndio umeongeaHahaha bestt inamana wewe aandunjee kiasi hicho? Basi ile za gia zitaakufaa
Sasa inaabidi uniambie birthday yako lini ili nifanye mambo ya logistics mapemaBest mie sio andunje ila huko ni kunionea. Hizo za gia sasa ndio umeongea
January best.Sasa inaabidi uniambie birthday yako lini ili nifanye mambo ya logistics mapema
Duh! January si mbali. Sawa ngoja nisave the dateJanuary best.
Nipo mdogo wangu. Salam kwa swtlo wangu. Manake siku hiz bi mdogo umemkamatia haswaà. Zamu haifuatiKuna mwaka akiwa bado anadate na diamond kwenye birthday day yake alipewa Murano na diamond...walivyozinguana tukaambiwa kumbe hiyo gari aliinunua yeye mwenyewe kwa hela yake diamond alimuongezea kidogo tu!! Ndio nikachoka . Sijui lini wema ataacha show off za kijinga...
gfsonwin nimekumiss mkemwenza
noma san funguka kidogowema na anty ni mtu na mkewe
Mwezi haujaisha lakini tarehe si ishapitaMwezi aujaisha unaweza kunitafutia