Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa miss Tanzania mwaka 2006 though sitetei kwamba ana 25. Wema ana 32 - 34.2019 -25= 1994 ....amezaliwa 1994 hivyo mwaka 1996 alikuwa miss Tanzania akiwa na miaka miwili ...safi sana!
Tukio hilo.la elements ama? Kumbuka kuna mwaka wema alipataga zawadi gari 2 kwenye birthday...
Biashara hizo,after part nenda YARD utayakuta yasharudi kwa mhindi.
Mliopo pembezoni ya Dar mnadanganywa na mengi.
Wadau nimeona Jana Insta kumechafuka. Wema kapewa gari jipya kabisa na Autie Ezekiel zawadi yake ya birthday.
Nimejiuliza maswali mengi sana hivi kumbe Wema na Auntie wana urafiki wa kujaliana kiasi hiki?
Pia zawadi anazopewaga Wema kwenye birthday ni magari tu. Jamani nani yuko naye karibu amwambie aniuzie moja kama second-hand.
Mimi sijui ninakwama wapi rafiki hata wa kunimwagia maji tu sina loh!
Mwisho ingieni wenyewe Insta mjionee msinidai video wakati sijui hata kuiupload JF.
Baadae leo huko elements kuna birthday party theme ni makitu gani sijui. May be warumi anaweza kutupa jina la theme
Hakuna watu wanaopenda ku-fake life kama hawa celebs (actors/actresses/musicians) na social elites. Wao through 'kiki' ndio wanaishi na kuboost fame ili waweze kwenda sawa na wenzao ila in real life hakuna kitu kabisa. Mfano mzuri, kuna siku nilikua pale Triple 7 (roundabout ya kawe) mida Fulani ya mchana nilienda kupata menu na kinywaji kidogo. Aliingia yule msanii gigy money akiwa na crew ya wenzake kama wanne hivi tena walikuja na bajaji, wakakaa kwenye meza moja wakaagiza konyagi kubwa wakawa wanashare huku wakiwa wanapiga simu mbalimbali (sijui ndio kwa madanga wao) wakitengeneza mazingira ya vizinga. Nilishangaa sana ukizingatia gigy alikua ajitapa huko kwenye social networks kua anavaa mawigi ya milioni sijui. Halafu ukimuangalia sasa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] (aisee shikamoo filters) utajikuta unachekea mbavuni.
The downfall of wema ilikua after alivopoteza udhamini wa yule (diplomat) aliyemfunguliaga movie production company akamjazia full ma Macintosh PC akampa na ndinga ila baada ya kugundua Kuna watu wanajitifulia kiulaini mshua akamwaga mboga, nyang'anya kila kitu wema. Jiulize kama almost kila bday anapewa ndinga, je kwa sasa ana ndinga ngapi? Ndio maana kuna kipindi alikua so stressed mpaka akawa anavuta ndukuru hadharani pale ununio beach kwa Rasi...
Mifano ipo mingi tu, kama wale ma presenters wa clouds ambao mkikutana nao pale msasani beach club wanaomba bia na kugongea hadi sigara lakini majina makubwa, followers kibao kwenye social networks. Conclusively, kuna maisha halisi na maisha ya kwenye mitandao ya kijamii..
Wema anatimiza miaka 25 sasa
She is over 30
yani wakuu mnawaamini wasinii du wasanii ni kama wana siasa akikwambia huko nje ni mchana toka nje nenda kahakikishe. wema huyu huyu alijifanya ile nyumba ya makumbusho ni yake kumbe alipewa akae na yule muhasibu wa Air Tanzania ya kibarua kilivyoota nyasi wema akamkimbia jamaa nakumbuka alifulia hadi akawa anauza mishkaki pale mitaa ya leaders ha ha ha ha ikabidi amfukuze wema kwenye ile nyumba akampola na ile harrier ya pink wema akaenda kupanga kunduchi pale uswahilini anakokaa na wale mapunga wakina aggrey
wema na anty ni mtu na mkewe
Shogaaa mm na ww ni sawa mm hata wa kunimwagia maji sikumuona.
Aaaaaah weeee mchuma Ule tumeuona una rangi ya red brad ni toyota val.. ..sijui???? Ni kweli bhanaaa.....siwez amini eti ni fix
Ana miaka zaidi ya 27, huwa ana anasema alishiriki u-miss akiwa under age let's say alikuwa 16, 2006 - 2019 ni miaka 13 + 16 ni 29 Sasa hiyo 23 yeye umri wake unarudi nyuma tu?Mimi nanachojua Wema ana timiza miaka 23