Pre birthday present ya Auntie Ezekiel kwa Wema Sepetu

Wasanii with full usanii
Ezekiel wa kutoa zawadi gani vileee?
Acha watufurahishe 2025 wengi watakuwa wanaomba kijiko cha chai kwa jirani!
Duh!!!!
Huu ubashiri wako ni kiboko
 
2019 -25= 1994 ....amezaliwa 1994 hivyo mwaka 1996 alikuwa miss Tanzania akiwa na miaka miwili ...safi sana!
Alikuwa miss Tanzania mwaka 2006 though sitetei kwamba ana 25. Wema ana 32 - 34.
 

Ukienda kwenye nyumba ya Wema utakuta hayo magari? Au huko barabarani anayaendesha? Hiyo ni nmana ya watu wa showroom ku-market bidhaa zao.
 

Wema mwenyewe nina ushahidi anagongea hadi buku. Nilivyofuma text kwa jamaa yangu sikuamini hadi nilivyothibitisha mwenyewe. Kifupi Hana bee Wala chee
 
Madini tupu
 
Binafsi nilikuwa mshabiki wa wema huniambii kitu hadi bday tunaandaa. Ila nilipogundua ni maigizo na akili hana nikapotezea huo upuuzi wa uteam.
 
Ukienda kwenye nyumba ya Wema utakuta hayo magari? Au huko barabarani anayaendesha? Hiyo ni nmana ya watu wa showroom ku-market bidhaa zao.
Mmmh sasa ndio apewe funguo alirukie kivile?
 
Binafsi nilikuwa mshabiki wa wema huniambii kitu hadi bday tunaandaa. Ila nilipogundua ni maigizo na akili hana nikapotezea huo upuuzi wa uteam.
Kumbe ulikuwa msadukayo kazi ulikuwa nayo
 
Mimi nanachojua Wema ana timiza miaka 23
Ana miaka zaidi ya 27, huwa ana anasema alishiriki u-miss akiwa under age let's say alikuwa 16, 2006 - 2019 ni miaka 13 + 16 ni 29 Sasa hiyo 23 yeye umri wake unarudi nyuma tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…