1994 up to 2006 miaka 12 akashiriki u-miss akiwa kahitimu kidato Cha nne ambayo ni miaka 4 akitanguliwa na elimu ya msingi ambayo ni miaka 7 +4 alianza elimu ya msingi akiwa na mwaka 1 Safi Sana!2019 -25= 1994 ....amezaliwa 1994 hivyo mwaka 1996 alikuwa miss Tanzania akiwa na miaka miwili ...safi sana!
Next birthday ntakuletea chama.Dunia INA upendeleo sana yani birthday yangu imepita hata zawadi ya pipi sijapata.
Daaah! Kweli hustahili kupewa zawadi wenzako huwa wakinusa harufu ya zawadi Basi ujue mwezi ujao yeye ndio alizaliwa wewe mpaka March? [emoji848] Mtoa zawadi utakuta alishafulia na utakachoambulia no hi zawadi ya ahadi.Aisee mm ni March. Yaan sio tu vitz hata funcargo napokea
Nyuma ya keyboard huwa Kuna Mambo mengi sana aisee utakuta naahidi connection ili hali natafuta connection ya kwangu mwenyewe [emoji16][emoji16] nahisi kumpa mtu ahadi ya gari ili hali huwa napitia dirishani kwenye daladala haya Maisha buana [emoji3][emoji3]Chukua connection zetu tukutandike magari....
usijifiche sana ndani...
Acha ubwege zile za wasukuma ndo Nini?Basi nitakufanyia mpango baiskeli ya phoneixx zile za wasukuma
Unadhani wote ni masikini kama ww!Nyuma ya keyboard huwa Kuna Mambo mengi sana aisee utakuta naahidi connection ili hali natafuta connection ya kwangu mwenyewe [emoji16][emoji16] nahisi kumpa mtu ahadi ya gari ili hali huwa napitia dirishani kwenye daladala haya Maisha buana [emoji3][emoji3]
Next year she'll turn 24.She is over 30
TafadhaliAcha ubwege zile za wasukuma ndo Nini?
Wema mwenyewe nina ushahidi anagongea hadi buku. Nilivyofuma text kwa jamaa yangu sikuamini hadi nilivyothibitisha mwenyewe. Kifupi Hana bee Wala chee
Wadau nimeona Jana Insta kumechafuka. Wema kapewa gari jipya kabisa na Autie Ezekiel zawadi yake ya birthday.
Nimejiuliza maswali mengi sana hivi kumbe Wema na Auntie wana urafiki wa kujaliana kiasi hiki?
Pia zawadi anazopewaga Wema kwenye birthday ni magari tu. Jamani nani yuko naye karibu amwambie aniuzie moja kama second-hand.
Mimi sijui ninakwama wapi rafiki hata wa kunimwagia maji tu sina loh!
Mwisho ingieni wenyewe Insta mjionee msinidai video wakati sijui hata kuiupload JF.
Baadae leo huko elements kuna birthday party theme ni makitu gani sijui. May be warumi anaweza kutupa jina la theme
Nyumbu nae anahangaika na Kiki wakat zilipendwa mxieew
Nini kilikuzuia kunipa taarifa ?Dunia INA upendeleo sana yani birthday yangu imepita hata zawadi ya pipi sijapata.
Mmmh sasa ndio apewe funguo alirukie kivile?
Hahaha hahaaa... Nimeona mahali akimbusu aunty Ezekiel mdomoni.. I was like [emoji57][emoji57]
Ni kweli nilikuja na fuso lkn sio is tangawizi.
Asante kwa kunifahamu vyema.Unadhani wote ni masikini kama ww!
Wema anatimiza miaka 25 sasa