Nasubiria wakujibu mkuuHivi ile pre season ya Marekani ilifia wapi?
Hata Yanga kaenda kwa Wananchi.Leo tarehe 31 Octoba, 2023 Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David Concar amefanya ziara ya kutembelea timu ya Simba na kufanya mazungumzo na viongozi na watendaji wa timu ya Simba.
Kwa namna Simba walivyo na mikakati naona moja ya mazungumzo/maombi ya Simba kwa Mhe. Balozi itakuwa kuwasaidia kuwaunganisha na timu kubwa za Uingereza kwa urafiki, hivyo naona uwezekano mkubwa wa msimu wa maandalizi ya Ligi ya 2024/2025 timu ya Simba kuialika timu mojawapo kubwa kutoka EPL nchini.
Kwa Simba hili linawezekana ni suala la muda tu.View attachment 2798895
Mudi anawapelekapeleka kwa kadiri ya kauli ya Ndg, Rage.Hivi ile pre season ya Marekani ilifia wapi?
Kwa namna Simba walivyo na mikakati naona moja ya mazungumzo/maombi ya Simba kwa Mhe. Balozi itakuwa kuwasaidia kuwaunganisha na timu kubwa za Uingereza kwa urafiki, hivyo naona uwezekano mkubwa wa msimu wa maandalizi ya Ligi ya 2024/2025 timu ya Simba kuialika timu mojawapo kubwa kutoka EPL nchini.
AaahaaaKikwete aliwaunganisha na Sunderland, Sunderland walifurahi kwa kuwa Simba pia ilikuwa inaitwa Sunderland...!
Pia ilikuwa tayari kuwa saidia mambo mengi sana, kilichotokea wana jua wenyewe viongozi wa Simba!
Nazani walitaka msaada wa pesa zaidi kuliko misaada mingine au mashirikiano mengineš
Tayari kigololi kimeshakushukaMnatafuta kiki kama kawaida yenu
So what!!!?Leo tarehe 31 Octoba, 2023 Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David Concar amefanya ziara ya kutembelea timu ya Simba na kufanya mazungumzo na viongozi na watendaji wa timu ya Simba.
Kwa namna Simba walivyo na mikakati naona moja ya mazungumzo/maombi ya Simba kwa Mhe. Balozi itakuwa kuwasaidia kuwaunganisha na timu kubwa za Uingereza kwa urafiki, hivyo naona uwezekano mkubwa wa msimu wa maandalizi ya Ligi ya 2024/2025 timu ya Simba kuialika timu mojawapo kubwa kutoka EPL nchini.
Kwa Simba hili linawezekana ni suala la muda tu.View attachment 2798895