Precision air kufilisika?


Je umeona nauli za precision kwa sasa?
 
Alphonce Kioko,PW ex CEO should be indicted by the ICC Hague for puting at risk the wellbeing of hundreds of employees + families!
 
Kufilisika sio rahisi sana ila kinachowezekana ni wamiliki kubadilika kwani tiyari jina wanalo, serekali ni vigumu kuikomboa maana ni ya binafsi na serekali haifanyi biashara na isitoshe ya kwao ATCL wameshindwa kuifufua hivyo ikitaka kuikomboa Precision ni kutaka kutafuta kashfa mpya ya ufisadi kitu ambacho naamini Mzee mwakiwembe hatakubali wembe umkate mwenye
 
Wafilisike wakati hawana mshindani? Hujasikia wanavyokaribia kufaulu kumwondoa Fastjet kwa mbinu za ujanja baada ya kuimaliza ATC/ATCL?


Mbona viwanda vyetu vya nyama, nguo, Matairi (General tyre), ZZK vilifilisika wakati vilikuwa peke yao?
 
Wafilisike wakati hawana mshindani? Hujasikia wanavyokaribia kufaulu kumwondoa Fastjet kwa mbinu za ujanja baada ya kuimaliza ATC/ATCL?

kyoko aliwafanya mbaya jamaa kawaacha hooi wewe bado una mawazo hayo? hivi unajua route yao muhimu kwa sasa ni mbeye tu na fasjet ikienda watakuwa wamewamaliza? kalaga baho!
 
mimi nashangaa serekali inatafuta mbia kuikoa ATCL ambayo ni national carrier na inasemekana kuna wa oman (waarabu) wameahidi kuifufua sasa sijui wataeleweka vipi wakipeleka hela za walipa kodi kwenye kampuni binafsi iliyohujumiwa wa wakenya ili waweze kumiliki hisa kubwa za PW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…