- Thread starter
- #21
Wamesitisha route ambazo hazina faida ili ku capitalize on the profit making routes.
Its a business strategy. You cut unnecessary costs for maximization of profits. Currently route zao za Mbeya, Mwanza na Kili ndo zinazowaingizia hela ndo maana wameongeza frequencies huko ili walau wapate faida itakayowawezesha kulipa madeni mengi yanayowakabili kwa sasa. Pili wameamua kurudisha maboeing yale coz running costs ni juu sana plus maintenance. Ukiwa na madeni halafu haupunguzi matumizi yako hamna tija unayoongeza kama unataka kuinusuru kampuni toka kwenye madeni.
Je umeona nauli za precision kwa sasa?