FastJet inaleta changamoto kubwa kwa Precision air na hii ni nzuri lakini ni hatari sana kwa usafiri wa anga Tanzania kwa sababu FastJet hawawezi kwenda routes nyinginezo ukiacha ya Dar-Mwz na Dar-KIA. Dege lao kubwa vile kwanza haliwezi kutua mfano Mtwara na hakuna abiria wa kutosha kwenda kwenye destinations nyingine zaidi ya Mwz na KIA. Sasa kama Precision air ikifa hii fastjet itaweza kutoa huduma mikoa mingi kama precision wafanyavyo kwa sasa? kwa maneno hayo nisingependa Precision air ife!!
Precision air wajifunze kwamba competition is stiff and many more new entrants in the market are there to come. Waboreshe huduma ili abiria wasiwakimbie. Kuna watu kulipa laki 4 sio tatizo kwao bora tu huduma iwe nzuri. All in all competition in the service industry is a good thing. So Viva FastJet