Bujibuji
nahisi ama kwa mawazo kifo cha atcl akihusiani kabisa na matokeo ya kutanuka kibiashara kwa precision air..mchawi mmoja alisema biashara ni marketing siku zote kwa ngu mimi precission ni wanapiga kazi uwezi kulinganisha marketing ya atcl na precission hata kidogo...pamoja na kwamba wako serikalini wao walitarajia abiria aletwe na yesu kwenye ndege..ama wanatarajia serikali kwa kuwa ina sharezake watumie kuwapeleka wafanyakazi kule...never...kila sehemu tunaitaji kuhangaika ili ule..wale precission walichofanya ni kwenda karibu kila idara za serikali na kumake deals za kazi si deals mnazojuana kwenye airline kuna kitu kamisheni...so akuna aliekazini kuuza sura...so walichofanya ni hicho na mpaka leo hii utaenda kushangaa waziri mkuu akipanda precission to mwanza si uchawi...waache wao atc wasubiri kuletewa abiria...\anayway mengi yanachangia kifo chao lakini nahisi dhambi kuuiita marehemu wakati iko bado icu
wakija kupona utajuta..yaa nahisi uongozi nao ni swala lingine linachangia kuliua kampuni hii ila ukianza kulalamika uongozi jua ceo anateuliwa na rais...inshort utapata jibu anaeiua atc anatoka wapi ama mchawi ni nani....je ukiwa kama mdau wa tanzania unafikiri tufanye nini atcl itoke icu badala ya kwenda kuzimu???