Precision air washusha flight fare

Precision air washusha flight fare

Mkuu mada precision kushusha bei. hiyo samaki ni mzigo ambao kwa mujibu wa sheria za usafiri wa anga kimataifa, abiria unaruhusiwa kuchukua mzigo usiopungua kilogram 30. hawa fast jet hawataki, labda wahusika wa kusimamia sheria hii hapa bongo wamelifumbia macho kwa sababu wanazojua wao

usiopungua au usiozidi?

halafu hizo bei ulizozitaja umeambiwa na nani?
 
usiopungua au usiozidi?

halafu hizo bei ulizozitaja umeambiwa na nani?

Nashukuru kwa marekebisho. USIOZIDI.

tembelea Precision kwa bei hizo, mie nililipa hiyo bei na kuambiwa imeshushwa, nilikuwa nimejiandaa kwa bei ya awali. lakini pia kuna Sms waliniambia zinarushwa kwa mitandao ya simu.
 
Mkuu nimeongea na customer care ya Precision Air mda mchache uliopita na majibu waliyonipa ni kwamba.
Kwa sasa wana promotion ya route ya Dar-Mwanza ambayo bei zao ni Tsh 199,000/= (Return ticket) na Tsh 139,000/= (One way ticket). Embu tufafanulie kidogo hizo bei zako umezipata wapi mkuu??

Bei hizo nilizipata precision office na nilikata mwanza dar return tickect.
 
Nashukuru kwa marekebisho. USIOZIDI.

tembelea Precision kwa bei hizo, mie nililipa hiyo bei na kuambiwa imeshushwa, nilikuwa nimejiandaa kwa bei ya awali. lakini pia kuna Sms waliniambia zinarushwa kwa mitandao ya simu.

aksante mkuu
 
Huwezi kuita Boeing 737-300 bodaboda wewe punguani. Watu tunapanda days in days out na kufika salama wewe unaita bodaboda. Hii nchi imejaa machizi wengi sana. KQ wanahisa PW about 40% nyingine ni za watanzania. Ni aibu ya hali ya juu Mtanzania mwenzio kaanzisha biashara imeshine hadi kuvutia mtaji wa kibiashara kutoka nje wewe unaita bodaboda. PW imeajiri watanzania kibao pale ambao isingekuwepo ungekuwa unagombania nao nafasi chache za ajira zilizopo. Utaishia kuajiriwa maisha yako yote ukiwa na hii mentality ya kiujima ujima. Hongera PW kwa kushusha nauli, hapo mmetusave 50,000 nzima na samaki tunapakia kilo 30. Tutaendelea kuwaunga mkono so long huduma yenu itakuwa poa na tutawaponda mkija na huduma mbovu kama za ATCL. Pia tunashukuru ujio wa Kikwete ooh sorry FASTJET maana ndio imesababisha hawa jamaa kushusha bei

Well said
 
bhageshi umenena mie nimesimuliwa tu iyo karaha ya fastjet,bora tu nipande ata ATC
yani watu tutoke mwanza bila samaki???na kwanini hawasemi kinachowafanya fastjet wakatae baadhi ya mizigo?mana samaki ni sehemu ya mzigo pia...ni kweli fastjet imerahisisha unafuu wa watu kusafiri kwa ndege ila hawako wawazi ktk marketing abt nini kinakubalika na kiki hakikubaliki

precision for life haijalishi ata nauli laki 3
 
Last edited by a moderator:
Uelewa wenu wa low cost airline ni mdogo ila i hope one day when all airlines resort to low cost business model then you will weigh the advantages between the carriers in the market. Thank God fastjet have already shown the way and induced precision air into the model. Many more will come and follow the trend already set by fastjet.
Take time to study about Southwest Airline in America and Ryanair and how they operate in Europe. Low cost pays and as the economy slumps when time goes, low cost will be the order of the aviation industry. Watch the space.
Do u know that there are number of airlines whose applications are pending with TCAA all vying for the same market in Eastern Africa and Tanzania to be specific?
 
Hiyo nauli mbona siioni,, hapa natafuta ticket ya mwanza ya jumamosi bei ni 199 kama kawaida, sema hii ya 199 ukikata online unapata hadi kwa 179,,,

Pamoja na kuja kwa fast jet, precision air for life tutaendaje mwanza bila kurudi na samaki..
 
bhageshi umenena mie nimesimuliwa tu iyo karaha ya fastjet,bora tu nipande ata ATC
yani watu tutoke mwanza bila samaki???na kwanini hawasemi kinachowafanya fastjet wakatae baadhi ya mizigo?mana samaki ni sehemu ya mzigo pia...ni kweli fastjet imerahisisha unafuu wa watu kusafiri kwa ndege ila hawako wawazi ktk marketing abt nini kinakubalika na kiki hakikubaliki

precision for life haijalishi ata nauli laki 3

Utapandaje ndege amabyo haipo? Au ipo?
 
Katika hali ya kuonesha ushindani katika biashara ya usafiri wa anga unaongezeka siku hadi siku, kampuni ya ndege ya Precision nayo imeshusha gharama za usafiri kwa mteja wa Precision Air, sasa waweza kutoka mwanza kwenda DAR kwa sh 98000 tu na kwenda na kurudi kwa sh 149000 tu. Awali return ticket ilikuwa Sh 275,000/- and above. Nadhani kwa style hii fast Jet waboreshe huduma zao maana they are very rude in caring customer, mizigo hawataki, samaki hawataki lakini mbaya zaidi hata hawatangazi vitu visivyoruhusiwa kuchukuliwa unajiaandaa na samaki wako unafika airpot wakati wa checking wanakuambia huu mzigo hatuchukui pata picha inayotokea baada ya kupewa taarifa hiyo juu ya mzigo wako tena kitoweo....
acha uswahili wewe utapandaje na samaki kwenye cabin? ingekuwa ndege yako ungekubali na shombo yote ya samaki? pakiza kwenye cargo! Muache mambo ya ajabu Wabongo! Hizi ndizo karaha za bei chee! wengine watataka wapande na tenga la kuku humo ndani wakikataliwa watakuja humu kupiga kelele
 
acha uswahili wewe utapandaje na samaki kwenye cabin? ingekuwa ndege yako ungekubali na shombo yote ya samaki? pakiza kwenye cargo! Muache mambo ya ajabu Wabongo! Hizi ndizo karaha za bei chee! wengine watataka wapande na tenga la kuku humo ndani wakikataliwa watakuja humu kupiga kelele

Unaonekana hujui unachokisema... au hukunielewa ninachokimaanisha... na bado kuna sheria zinazosimamia biashara hii pia inaonekana huzijui....anyway huo ndio ufahamu wako....
 
Mkuu mada precision kushusha bei. hiyo samaki ni mzigo ambao kwa mujibu wa sheria za usafiri wa anga kimataifa, abiria unaruhusiwa kuchukua mzigo usiopungua kilogram 30. hawa fast jet hawataki, labda wahusika wa kusimamia sheria hii hapa bongo wamelifumbia macho kwa sababu wanazojua wao
Inawezekana hawana coolants kuweza kuwafikisha salama mwisho wa safari yako!
 
Unaonekana hujui unachokisema... au hukunielewa ninachokimaanisha... na bado kuna sheria zinazosimamia biashara hii pia inaonekana huzijui....anyway huo ndio ufahamu wako....
hakuna airline inayobandisha samaki kwenye passengers cabin duniani! Nipe jina la airline moja kama ipo! pershable and live goods hazikanyagi mle international aviation laws zinasema hivyo!
 
sisi binadamu c watu wa kushukuru, hivi mlitaka sisi wenye kipato duni tuziskie ndege angani tu, lazima tuishukuru fast jet kwa changamoto waliyoleta kwenye usafiri wa anga ili na sisi wa hali ya chini tupande hizo ndege
 
Asante Mwakyembe kwa kuwapa Fast Jet kibali, hawa wachagga wa Precision walitaka kuufanya usafiri wa anga ni wa wenye nazo peke yao, walitaka tuendelee kupanda punda za Ubungo hadi tuingiapo kaburini
 
hakuna airline inayobandisha samaki kwenye passengers cabin duniani! Nipe jina la airline moja kama ipo! pershable and live goods hazikanyagi mle international aviation laws zinasema hivyo!

Nimekwambia hujanielewa na hutaki kuelewa, tatizo lako ni mbishi halafu hauko tayari kuelewa hata hao precision sijasema wanapakia kwenye cabin. nenda kaangalie huwa wanaweka wapi hao samaki toka mwanza mpaka wanafika dar. uliza walioathirika na usafiri wa fast jet kwa sababu tu hawako wawazi juu ya aina ya mizigo inayopaswa kuchukuliwa na abiria. sina shida na huduma yao ya bei rahisi kwani huo ndio ushindani, tatizo ni taarifa kwa wateja tufahamu kinagaubaga. sio una issue ticket ambayo haina limitation zozote juu ya aina za mizigo ambazo abiria anatakiwa kuwa nazo akifika airport mnabadilikia hiyo sio kabisa. wewe kama ni mmoja wao fast jet badilikeni. kuweni wawazi wa taratibu zenu.
 
Inawezekana hawana coolants kuweza kuwafikisha salama mwisho wa safari yako!

Ni uhuni mtupu, safari ya 55minutes na kuna jamaa yangu hapa nasema awali walipoanza walichukua baadaye wakafuta na kuanza kuzitoza mizigo uzio. hebu pata kwa baadhi ya masharti yao hapa chini huenda yakakusaidia kama ww si mmoja wao wa fast jet....

FastJet Ticket Rules:

  • Tickets are non-refundable
  • No name changes are allowed for any reason after ticket is purchased
  • A passenger is considered a no-show after the flight has departed; they miss the check-in desk closure or fail to board the aircraft within the required time
  • The ticket is non-refundable if unused
  • An administration charge applies to recover government taxes
  • Check-in closes 40 minutes before departure
  • All flight changes must be made 24 hours before the flight originally booked - No change will be allowed within 24 hours before the flight
  • All fees and charges will be made in the currency of the original booking.
  • Payment of change fee and ancillary products must be immediate for products and changes to be affected
  • Baggage is subject to a fee of $5 per bag
  • Only one bag allowed per passenger
  • You can carry 20kgs for the $5 fee
  • The passenger can pay for excess weight at a rate of $5 per kg up to a maximum of 32kgs
  • Fare differences apply per passenger and flight
  • Your new Fare will be at least the fare you originally booked or may be more
  • You cannot change to a lower fare
  • No refund will be applicable if a lower Fare is available
  • Fare difference is the difference (if any) between the Fare originally booked and the new fare available
  • The fare difference may be substantial
  • Flight date changes are permitted subject to a fee and the applicable difference in the fare available
  • Origin and destination changes are not permitted
  • The passenger must make all date and flight changes 24 hours before departure
  • After which time the passenger is committed to the reservation
    **Unaccompanied minor** Children aged less than 14 years are not allowed to travel unaccompanied, they can only travel with an adult
  • Check in closes 40 minutes before departure
  • No name changes or refunds
 
Nimekwambia hujanielewa na hutaki kuelewa, tatizo lako ni mbishi halafu hauko tayari kuelewa hata hao precision sijasema wanapakia kwenye cabin. nenda kaangalie huwa wanaweka wapi hao samaki toka mwanza mpaka wanafika dar. uliza walioathirika na usafiri wa fast jet kwa sababu tu hawako wawazi juu ya aina ya mizigo inayopaswa kuchukuliwa na abiria. sina shida na huduma yao ya bei rahisi kwani huo ndio ushindani, tatizo ni taarifa kwa wateja tufahamu kinagaubaga. sio una issue ticket ambayo haina limitation zozote juu ya aina za mizigo ambazo abiria anatakiwa kuwa nazo akifika airport mnabadilikia hiyo sio kabisa. wewe kama ni mmoja wao fast jet badilikeni. kuweni wawazi wa taratibu zenu.
kila airline ina business policies zake jaribu kusoma maelekezo yao katika website zao kuelewa! In short hata Ulaya Easyjet na Ryanair hazichukui perishable or live cargo! Kwa vile ni risky na mode of their operation do not support them to be falling into a compensation trap! umenielewa mzee that kind of cargo is too risky for them and if they take such cargo they will be positioning themselves to pay compensation everyday!
 
Back
Top Bottom