asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,035
Mkuu mada precision kushusha bei. hiyo samaki ni mzigo ambao kwa mujibu wa sheria za usafiri wa anga kimataifa, abiria unaruhusiwa kuchukua mzigo usiopungua kilogram 30. hawa fast jet hawataki, labda wahusika wa kusimamia sheria hii hapa bongo wamelifumbia macho kwa sababu wanazojua wao
usiopungua au usiozidi?
halafu hizo bei ulizozitaja umeambiwa na nani?