asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,035
Mkuu mada precision kushusha bei. hiyo samaki ni mzigo ambao kwa mujibu wa sheria za usafiri wa anga kimataifa, abiria unaruhusiwa kuchukua mzigo usiopungua kilogram 30. hawa fast jet hawataki, labda wahusika wa kusimamia sheria hii hapa bongo wamelifumbia macho kwa sababu wanazojua wao
usiopungua au usiozidi?
halafu hizo bei ulizozitaja umeambiwa na nani?
Mkuu nimeongea na customer care ya Precision Air mda mchache uliopita na majibu waliyonipa ni kwamba.
Kwa sasa wana promotion ya route ya Dar-Mwanza ambayo bei zao ni Tsh 199,000/= (Return ticket) na Tsh 139,000/= (One way ticket). Embu tufafanulie kidogo hizo bei zako umezipata wapi mkuu??
Nashukuru kwa marekebisho. USIOZIDI.
tembelea Precision kwa bei hizo, mie nililipa hiyo bei na kuambiwa imeshushwa, nilikuwa nimejiandaa kwa bei ya awali. lakini pia kuna Sms waliniambia zinarushwa kwa mitandao ya simu.
Huwezi kuita Boeing 737-300 bodaboda wewe punguani. Watu tunapanda days in days out na kufika salama wewe unaita bodaboda. Hii nchi imejaa machizi wengi sana. KQ wanahisa PW about 40% nyingine ni za watanzania. Ni aibu ya hali ya juu Mtanzania mwenzio kaanzisha biashara imeshine hadi kuvutia mtaji wa kibiashara kutoka nje wewe unaita bodaboda. PW imeajiri watanzania kibao pale ambao isingekuwepo ungekuwa unagombania nao nafasi chache za ajira zilizopo. Utaishia kuajiriwa maisha yako yote ukiwa na hii mentality ya kiujima ujima. Hongera PW kwa kushusha nauli, hapo mmetusave 50,000 nzima na samaki tunapakia kilo 30. Tutaendelea kuwaunga mkono so long huduma yenu itakuwa poa na tutawaponda mkija na huduma mbovu kama za ATCL. Pia tunashukuru ujio wa Kikwete ooh sorry FASTJET maana ndio imesababisha hawa jamaa kushusha bei
bhageshi umenena mie nimesimuliwa tu iyo karaha ya fastjet,bora tu nipande ata ATC
yani watu tutoke mwanza bila samaki???na kwanini hawasemi kinachowafanya fastjet wakatae baadhi ya mizigo?mana samaki ni sehemu ya mzigo pia...ni kweli fastjet imerahisisha unafuu wa watu kusafiri kwa ndege ila hawako wawazi ktk marketing abt nini kinakubalika na kiki hakikubaliki
precision for life haijalishi ata nauli laki 3
Nadhani Mramba angekuwa bado waziri fastjet isingekuwepo
acha uswahili wewe utapandaje na samaki kwenye cabin? ingekuwa ndege yako ungekubali na shombo yote ya samaki? pakiza kwenye cargo! Muache mambo ya ajabu Wabongo! Hizi ndizo karaha za bei chee! wengine watataka wapande na tenga la kuku humo ndani wakikataliwa watakuja humu kupiga keleleKatika hali ya kuonesha ushindani katika biashara ya usafiri wa anga unaongezeka siku hadi siku, kampuni ya ndege ya Precision nayo imeshusha gharama za usafiri kwa mteja wa Precision Air, sasa waweza kutoka mwanza kwenda DAR kwa sh 98000 tu na kwenda na kurudi kwa sh 149000 tu. Awali return ticket ilikuwa Sh 275,000/- and above. Nadhani kwa style hii fast Jet waboreshe huduma zao maana they are very rude in caring customer, mizigo hawataki, samaki hawataki lakini mbaya zaidi hata hawatangazi vitu visivyoruhusiwa kuchukuliwa unajiaandaa na samaki wako unafika airpot wakati wa checking wanakuambia huu mzigo hatuchukui pata picha inayotokea baada ya kupewa taarifa hiyo juu ya mzigo wako tena kitoweo....
acha uswahili wewe utapandaje na samaki kwenye cabin? ingekuwa ndege yako ungekubali na shombo yote ya samaki? pakiza kwenye cargo! Muache mambo ya ajabu Wabongo! Hizi ndizo karaha za bei chee! wengine watataka wapande na tenga la kuku humo ndani wakikataliwa watakuja humu kupiga kelele
Inawezekana hawana coolants kuweza kuwafikisha salama mwisho wa safari yako!Mkuu mada precision kushusha bei. hiyo samaki ni mzigo ambao kwa mujibu wa sheria za usafiri wa anga kimataifa, abiria unaruhusiwa kuchukua mzigo usiopungua kilogram 30. hawa fast jet hawataki, labda wahusika wa kusimamia sheria hii hapa bongo wamelifumbia macho kwa sababu wanazojua wao
hakuna airline inayobandisha samaki kwenye passengers cabin duniani! Nipe jina la airline moja kama ipo! pershable and live goods hazikanyagi mle international aviation laws zinasema hivyo!Unaonekana hujui unachokisema... au hukunielewa ninachokimaanisha... na bado kuna sheria zinazosimamia biashara hii pia inaonekana huzijui....anyway huo ndio ufahamu wako....
hakuna airline inayobandisha samaki kwenye passengers cabin duniani! Nipe jina la airline moja kama ipo! pershable and live goods hazikanyagi mle international aviation laws zinasema hivyo!
Inawezekana hawana coolants kuweza kuwafikisha salama mwisho wa safari yako!
kila airline ina business policies zake jaribu kusoma maelekezo yao katika website zao kuelewa! In short hata Ulaya Easyjet na Ryanair hazichukui perishable or live cargo! Kwa vile ni risky na mode of their operation do not support them to be falling into a compensation trap! umenielewa mzee that kind of cargo is too risky for them and if they take such cargo they will be positioning themselves to pay compensation everyday!Nimekwambia hujanielewa na hutaki kuelewa, tatizo lako ni mbishi halafu hauko tayari kuelewa hata hao precision sijasema wanapakia kwenye cabin. nenda kaangalie huwa wanaweka wapi hao samaki toka mwanza mpaka wanafika dar. uliza walioathirika na usafiri wa fast jet kwa sababu tu hawako wawazi juu ya aina ya mizigo inayopaswa kuchukuliwa na abiria. sina shida na huduma yao ya bei rahisi kwani huo ndio ushindani, tatizo ni taarifa kwa wateja tufahamu kinagaubaga. sio una issue ticket ambayo haina limitation zozote juu ya aina za mizigo ambazo abiria anatakiwa kuwa nazo akifika airport mnabadilikia hiyo sio kabisa. wewe kama ni mmoja wao fast jet badilikeni. kuweni wawazi wa taratibu zenu.