LGE2024 Preemptive Move Kuisaidia Chadema Ahead of Press Conference ya Mwenyekiti Mbowe Leo, Chadema Wasifanye Kosa la Kurudia Kosa Kususia Uchaguzi wa SM

LGE2024 Preemptive Move Kuisaidia Chadema Ahead of Press Conference ya Mwenyekiti Mbowe Leo, Chadema Wasifanye Kosa la Kurudia Kosa Kususia Uchaguzi wa SM

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
leo kuna press conference muhimu ya Chadema。

hili ni bandiko la kitu kinachoitwa preemptive move ya kuisaidia Chadema ahead of Press Conference hii muhimu ya Mwenyekiti wa Chadema leo,ili kuisaidia Chadema wasifanye kosa la kurudia kosa la kususia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa!。

Anzia hapa Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!
Wanabodi,

Vyama vya Siasa Tanzania ni Public Parties
Japo vyama vya siasa ni mali ya wanachama na kuhudumiwa na michango ya wanachama, kwa Tanzania, vyama vya siasa ni private parties vya wanachama, wakati tuu wa kuanzishwa, lakini vikiisha ingia kushiriki uchaguzi na kushinda, status ya vyama hivyo ina change from private parties za wanachama into public parties za umma wa wananchi na ndio maana vinalipwa ruzuku ya serikali ambazo ni fedha za wananchi. Fedha za serikali, public money, ni fedha za wananchi, yoyote anayelipwa kwa fedha za wananchi, by taxpayers money ni public entity, kufuatia viongozi wa vyama hivyo kuchaguliwa na wananchi, the public, to hold a public office, serikali za mitaa, udiwani, ubunge hadi urais, walio wachagua ni public ya Watanzania na sio wanachama wao pekee, hivyo hivi vyama vyote vya siasa vyenye viongozi waliochaguliwa na wananchi ni public parties.

Kufuatia status hii ya vyama vya siasa kuwa ni public parties, then maamuzi yoyote ya chama kuhusu uchaguzi, lazima yazingatie the public interest na sio the selfish motives ya viongozi wake,

Jee Kila Uamuzi wa Kugomea Jambo au Kususia Kitu ni Ujinga, Insane?
Hapana, sio kila kugomea jambo au kususia jambo fulani ni ujinga. Kugomea jambo fulani ili kutuma ujumbe mzito kwa watawala, kuwa this is not right, kunakubalika, hivyo maandamano ya kutuma ujumbe, demonstrations au industrial actions kwa wafanyakazi, kudai haki zao, ni migomo halali na ina justification kwa ajili ya kutimiza malengo fulani.

Kipimo cha kususia jambo fulani au kugomea fulani, kipi ni uamuzi sahihi na kipi ni ujinga na uendawazi, ni kipimo cha kutumia matokeo, jee ukigomea jambo fulani, una goma ili kuachive nini?, kama unagoma tuu ili mradi kugoma, au unasusa tuu ili mradi kususa, kwa kugoma huko, huta achieve anything, huku ndio kugoma kwa ujinga na uendawazimu, viongozi wa vyama wanaohimiza vyama vyao kususa huku na kugoma huku ambapo there is nothing they'll achieve kwa kususa huko au kugoma huko, huu ndio uendawazimu ninaouzungumza hapa! Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Hitimisho.
Kwa vile vyama vya siasa ni public parties, viongozi wa vyama, mna wajibu wa kuviendesha vyama vyenu kwa kutanguliza mbele maslahi ya umma na sio maslahi binafsi ya viongozi wenu, msiruhusu ignorance, insanity, selfishness ya baadhi ya viongozi wenu wabinafsi, kuviangamiza vyama vyenu kwa ignorance, insanity, selfishness yao, wakati miongoni mwenu sio wote mko insane.

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Taarifa ikufikie Popote Ulipo kwamba, Mwenyekiti wa Chadema, Mwamba Kabisa, Freeman Mbowe, Atazungumza na Dunia kupitia kwa Waandishi Wote wa Habari Duniani.

Taarifa ya Chama chake iliyosambazwa kote Duniani hii hapa

View attachment 3155564

Hatutaki kuongeza Chumvi, Tusubiri Habari kamili baada ya Mkutano huo

Usiondoke JF
Asante sana kwa taarifa hii, ushauri wangu ni atangaze chochote na alalamike vyovyote kuhusu hizi figisu figisu za uchaguzi wa serikali za mitaa, ila hala hala ,Chadema wasifanye kosa kama lile la mwaka 2019 kususia uchaguzi wa serikali za mitaa,hivyo uchaguzi mkuu wa 2020 waliambulia jimbo moja tuu la ngama!,wakasusia kuutambua uchaguzi,na kuuita ni uchafuzi, lakini baada ya maridhiano wakautambua na kuyatambua matokeo!。

Kufanya kosa sii kosa,kosa kurudia kosa, Chadema walifanya kosa kususia uchaguzi ule,uchaguzi huu wasirudie makosa,wasijitoe kwa kususia uchaguzi wa seikali za mitaa!。

Paskali
update
Press Conference Imeisha, Chadema haitajitoa。

Pongezi Chadema kutorudia makosa。
Mungu Ibariki Chadema
Mungu Ibariki Tanzania
P。
 
Wakisusa wenzao wala,

Mpaka sasa CHADEMA imepoteza legitimacy ya kujiita chama kikuu cha upinzani Tanzania.

Uroho wa madaraka baina yao
Kukosa oneness kwenye misimamo yao
Kukosa agenda ya kitaifa
 
Wakisusa wenzao wala,

Mpaka sasa CHADEMA imepoteza legitimacy ya kujiita chama kikuu cha upinzani Tanzania.

Uroho wa madaraka baina yao
Kukosa oneness kwenye misimamo yao
Kukosa agenda ya kitaifa

Sema kweli japo inauma
Kwanini mnawakata wagombea wao wote mnabakisha wetu ccm? Unadhani hio ni haki?
 
Wanabodi,
leo kuna press conference muhimu ya Chadema。

hili ni bandiko la kitu kinachoitwa preemptive move ya kuisaidia Chadema ahead of Press Conference hii muhimu ya Mwenyekiti wa Chadema leo,ili kuisaidia Chadema wasifanye kosa la kurudia kosa la kususia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa!。

Anzia hapa Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!


Asante sana kwa taarifa hii, ushauri wangu ni atangaze chochote na alalakike vyovyote kuhusu hizi figisu figisu za uchaguzi wa serikali za mitaa, ila hala hala ,Chadema wasifanye kosa 2019 kususia uchaguzi wa serikali za mitaa,hivyo uchaguzi wa 2020 waliambulia jimbo moja tuu la ngama,wakasusia kuutambua uchaguzi,wakauita ni uchafuzi, baada ya maridhiano wakautambua na kuyatambua matokeo。

Kufanya kosa sii kosa,kosa kurudia kosa, Chadema wasirudie makosa,wasijitoe kwa kususia uchaguzi wa seikali za mitaa!。

Paskali

Ili wauhalalishe huu uchaguzi?
 
1. La kususia halipo. Na labda umesahau kuwa, kwa kanuni za uchaguzi huu wa mwaka huu, hakuna mgombea kupita bila kupingwa. Kama yuko pekee yake basi kuna kura ya NDIYO au HAPANA. Hii ni fursa pia kwa vyama kumpigia kampeni ya "HAPANA" mgombea asiyetokana na wananchi. Ni fursa ya chama pia kujitangaza...

2. PC ya leo likely itahusu mambo mawili au matatu

➡Msimamo wa CHADEMA kuhusu kasoro na uchafuzi wa mchakato wote wa uchaguzi wa vijiji, mitaa na vitongoji 2024 kuanzia uandikishaji wapiga kura, uchukuaji fomu za kugombea, urejeshaji wa fomu hizo, uteuzi wa wagombea na ukataji wa rufaa na maamuzi ya rufaa hizo..

➡Response ya serikali juu ya janga la kuanguka kwa ghorofa Kariakoo na kuua watu kadhaa. Na huku watu wakijiokoa na kuomboleza, Rais Samia Suluhu Hassan yeye akakwea pipa kwenda Brazil kwenye mwaliko wa mkutano wa nchi wanachama wa G20..

➡Kelele za mgogoro ndani ya chama hususani yeye na Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wake. Na kwa hili bila shaka Tundu Lissu atakuwepo kwenye Press Conference hiyo na pengine akawa mmoja wa wasemaji wakuu. Asipokuwepo itakuwa ni dosari kubwa na litakuwa kosa kubwa la kisiasa CHADEMA kulifanya..

Ni mtazamo na maoni yangu tu..
 
Wakisusa wenzao wala,

Mpaka sasa CHADEMA imepoteza legitimacy ya kujiita chama kikuu cha upinzani Tanzania.

Uroho wa madaraka baina yao
Kukosa oneness kwenye misimamo yao
Kukosa agenda ya kitaifa
Actualy bado hawajapoteza, currently ndio chama kikuu cha upinzani despite ya rafu zote zinazofanywa against them.
Kuna chama kingine chenye upinzani mkubwa zaidi yao?
Yes wana madudu yao, but je hayo madudu ccm hayapo?
I dont think kuna chama perfect
 
Wanabodi,
leo kuna press conference muhimu ya Chadema。

hili ni bandiko la kitu kinachoitwa preemptive move ya kuisaidia Chadema ahead of Press Conference hii muhimu ya Mwenyekiti wa Chadema leo,ili kuisaidia Chadema wasifanye kosa la kurudia kosa la kususia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa!。

Anzia hapa Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!


Asante sana kwa taarifa hii, ushauri wangu ni atangaze chochote na alalakike vyovyote kuhusu hizi figisu figisu za uchaguzi wa serikali za mitaa, ila hala hala ,Chadema wasifanye kosa 2019 kususia uchaguzi wa serikali za mitaa,hivyo uchaguzi wa 2020 waliambulia jimbo moja tuu la ngama,wakasusia kuutambua uchaguzi,wakauita ni uchafuzi, baada ya maridhiano wakautambua na kuyatambua matokeo。

Kufanya kosa sii kosa,kosa kurudia kosa, Chadema wasirudie makosa,wasijitoe kwa kususia uchaguzi wa seikali za mitaa!。

Paskali
Kushiriki kwenye Uchaguzi siyo njia sahihi kwao, lakini pia hata kususia uchaguzi siyo njia sahihi kwao ya kufanya Siasa sahihi kwa hapa Tanzania hivi sasa.

Aidha, Inavyoonekana Kuna mvurugano ndani ya Chadema. Kiini cha kuwepo kwa mvurugano huu huko Chadema kwa maoni yangu ni kutokana na namna Mwenyekiti wa Chama chao hicho Freeman Mbowe kukosa misimamo inayoeleweka kuhusiana na Siasa za nchi hii kwa sasa. Siyo siri hata kidogo, Mbowe akiwa Kama Kiongozi wa Chama Chao hicho, amekuwa ni mtu ambaye Hana msimamo unaoeleweka hali hii imesababisha mkwamo na kuyumba kwa Wanachama wa chama hicho.

Mbowe amekuwa ni mtu asiyeaminika tena kwa sasa ndani ya Chama Chao hicho, watu wengi kwanza wanamchukulia kama ni Mamluki wa Chama tawala ambaye amejipachika kwenye Vyama vya upinzani kwa 'kazi maalumu ya kuvuruga vyama vya upinzani' ili kukinufaisha chama tawala.

'Engine' ya treni ikiharibika mabehewa yote ya treni nayo huyumba na kusimama!

THE WAY FORWARD:
Njia iliyo sahihi zaidi ya kufanya Siasa sahihi kwa hapa Tanzania kwa Sasa ni Moja tu: nayo ni KUDAI NA KUPIGANIA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA ILIYO NZURI.
Kupatikana kwa Katiba Mpya iliyo nzuri ndio itajenga Msingi Bora na ulio imara kabisa wa kufanikisha Mambo mengine yote kabisa yaliyo mazuri.

NB: Hakuna Jambo lolote lile lililo zuri ambalo linaweza kufanikiwa kwa Sasa hapa Tanzania bila ya kupatikana kwa Katiba mpya iliyo nzuri kwanza, never!
 
Unaielekeza CDM au unamuelekeza Mkt Mbowe Cha kufanya?

Je akusikize wewe na Si maamuzi ya vikao vya chama?

Je Kuna uchaguzi?
 
Kama timu za mpira zilivyo, kadri unavyoshiriki ligi na kupoteza ndivyo unavyopoteza mashabiki na kinyume chake ndio kweli.

CHADEMA kushiriki hizi chaguzi ambazo haziko fair kwao, na wao kutojipanga kunapunguzia kuaminika kwa jamii.

Ni bora kugoma kushiriki huku jamii ikijua ikielewa kwa upana hizo sababu.
 
Wakifanya hivyo watakuwa wasaliti Sana maana mtaani wanasubiri hata iwekwe CCM Na Kuku Ni Bora wachague sura ya Kuku kuliko Chama hiki.

Vipi ukiweka CCM Na sura nyingine ya mwanadamu mwenzao? It's much better of
 
Wakisusa wenzao wala,

Mpaka sasa CHADEMA imepoteza legitimacy ya kujiita chama kikuu cha upinzani Tanzania.

Uroho wa madaraka baina yao
Kukosa oneness kwenye misimamo yao
Kukosa agenda ya kitaifa
Sasa ni kosa hilo au ahueni kwenu CCM..? Jifariji..endelea kungojea kuona bendera za CHADEMA mtaani..!Kilishavuka huko
 
Wanabodi,

Kufanya kosa sii kosa,kosa kurudia kosa, Chadema walifanya kosa kususia uchaguzi ule,uchaguzi huu wasirudie makosa,wasijitoe kwa kususia uchaguzi wa seikali za mitaa!。

Paskali
Pongezi Chadema kutorudia makosa。
Mungu Ibariki Chadema
Mungu Ibariki Tanzania
P。
 
Back
Top Bottom