Premier League: Man United yaibamiza Liverpool 2-1, Agosti 22, 2022

Derby haina fundi
 
Liverpool bado sana hapo hawajakutana na Arsenal msimu huu atagombania top 4 siyo ubingwa.
 
Kwendaa ,,
Una stress za kuchaniwa mkeka na united wewe sio bure
Huoni kama stress unazo wewe sasa maana ungepigwa Jana sijui ungekuwa na hali gani leo ungetuahribia zoezi la sensa ila hongera kuwa kunywa supu ya jogoo
 
Kloop ananiboa sana kwa kukumbatia uhafidhina kwenye mpira wa miguu

Bila shaka ni mwalimu ninayemhusudu sana lkn akishamwamini mchezaji namba atapewa tu

Pia usajili wa kuchechemea kwa epl anaweza asichukue ubingwa tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…