President John Magufuli's pregnant schoolgirl ban angers Tanzanian women

President John Magufuli's pregnant schoolgirl ban angers Tanzanian women

Kila mtu anayo haki yakupata Elimu, ziwkwe taratibu zifike mpaka kwenye jamii sas sheria wamewekewa baba na mama wa mtoto lakini daktari na polisi wanaohongwa je sheria inasemaje ilibidi na wao waende ndani ikibidi had watu wa karibu namna hiyo
Ulishawahi kulea mtoto mchanga wewe?
Wanaoenda kazini wasiende wakishakuwa na watoto watawezaje kazi na huku wakinyonyesha? nchi za wenzetu sheria zimekaaje au wao hawana hizi kesi za ujauzito mashuleni kabisaaaa?
 
Kila mtu anayo haki yakupata Elimu, ziwkwe taratibu zifike mpaka kwenye jamii sas sheria wamewekewa baba na mama wa mtoto lakini daktari na polisi wanaohongwa je sheria inasemaje ilibidi na wao waende ndani ikibidi had watu wa karibu namna hiyo
Hakuna sheria inayomkataza msichana wa shule (aliyepata mimba) kuendelea kusoma shule binafsi.
Wanaoenda kazini wasiende wakishakuwa na watoto watawezaje kazi na huku wakinyonyesha? nchi za wenzetu sheria zimekaaje au wao hawana hizi kesi za ujauzito mashuleni kabisaaaa?
Hao ni watu wazima, huwezi fananisha na mtoto wa form two mwenye mtoto.
 
The focus should be put on preventing the problem, na sio kulalamikia namna ambayo tatizo linashughulikiwa.

- I was once a student najua mimba mashuleni zinaweza kudhibitiwa, but only if nguvu kama hiyo inayopotea ingetumika kudhibiti. Tena nasugest hata wanafunzi wa kiume wanaowapa mimba wasichana nao wasiachwe.

- Elimu ni haki ya mtoto mbona wanaofeli STD 7, Fm4, na Fm6 pia hawaruhusiwi kuendelea na hatuzisikii hizo groups?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adhabu inapaswa iwe ya kufunza (reformative and not destructive). Kumfukuza mtoto shule siyo reformative kwasababu future yake ya kielimu imekatishiwa mbali. Kwanza huyo ni mtoto hivyo adhabu haipaswi kuwa kali kama vile tuna vinyongo na watoto. Of cause, watoto hawapaswi kujihusisha na mapenzi wakati wakiwa bado wanasoma, lakini si kwa adhabu hii, ifikiriwe adhabu nyingine itakayo wajenga watoto na kuwafanya waone bado wanathaminiwa na taifa lao.
Vipi wale wanaofeli na hawaruhusiwi kuendelea..adhabu inawafaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakikopesha deni lizidi si mtachonga vilevile. Na wakihalalisha mimba shuleni si mtachonga vilevile.

Mnatakiwa muwe mnasema WE HATE YOU MAGUFULI
punguza jazba,
mdogo wako akibakwa na kupata ujauzito adhabu yake iwe kukosa haki yake ya kupata elimu???

Huko CCM 95% ni mbumbumbu wa maswala ya msingi.
 
Kama serikali mmefanya mikakati gani kuwasaidia?
Mimi sio msemaji wa serikali mimi ni mwanajamii.. hakuna mzazi anayefurahia mtoto wake wa kike wa miaka (10 - 17) apate ujauzito, na inauma sana. Na inauma zaidi kuona watu wanalichukulia hili swala kama siasa.
Mtoto wa miaka 12 ajifungue leo af kesho aingie darasani unafikiri kisaikolojia future ya elimu itakuwepo? Kwa nini tusipigane kuzuia hilo kutokea? Mnataka tuhalalishe mimba mashuleni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio msemaji wa serikali mimi ni mwanajamii.. hakuna mzazi anayefurahia mtoto wake wa kike wa miaka (10 - 17) apate ujauzito, na inauma sana. Na inauma zaidi kuona watu wanalichukulia hili swala kama siasa.
Mtoto wa miaka 12 ajifungue leo af kesho aingie darasani unafikiri kisaikolojia future ya elimu itakuwepo? Kwa nini tusipigane kuzuia hilo kutokea? Mnataka tuhalalishe mimba mashuleni?

Sent using Jamii Forums mobile app
Halichukuliwi kama siasa, world bank wamestudtushwa na kauli ya mkuu wa nchi kuhusu hatima ya mabinti wanaopata mimba shuleni. Jibu ni kufanya mabadiliko na kuwataarifu msimamo mpya wa serikali.
 
punguza jazba,
mdogo wako akibakwa na kupata ujauzito adhabu yake iwe kukosa haki yake ya kupata elimu???

Huko CCM 95% ni mbumbumbu wa maswala ya msingi.

So kila msichana anabakwa? Sidhani kama wamekaza kwa sababu hiyo.
 
Back
Top Bottom