President John Magufuli's pregnant schoolgirl ban angers Tanzanian women

Vipi wale wanaofeli na hawaruhusiwi kuendelea..adhabu inawafaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hao wanaoadhibiwa ni watoto, bado hawana uwezo na uzoefu wa kupambana na mikikiki ya kimaisha. Tuwaoneshe upendo, kama Mungu angekua anatuadhibu kwa style hiyo nani angesimama? Mimba haimfanyi mtu kupoteza utoto wake au utu wake, haki ya elimu ni haki ya kibinadamu na ni haki ya kila mtoto.
 
Nadhani wangewapa zana za kinga ya mimba inge pendeza sana. Kuliko kuwafukuza shule huku hamjampa zana za kinga akazembea kuzitumia. Kama ningekuwa ndio mkuu, ningeamuru kila mwalimu mkuu aweke bajeti ya kuwanunulia ndomu za kutosha wanafunzi.
Siku niliyotaka kuzirai niliwakuta watoto 2 me na ke wa kama miaka 3 hivi. Wamo wamejificha ndani ya kalavati wanakula denda la nguvu. Hakika niliona labda nilishakufa na sasa nipo ahera madukani nangojea kuingia peponi.
Sintakaa niisahau hiyo siku. Ndo maana nasema; Wapewe ndomu za kutosha wawe wakitembea nazo. Kizazi hiki cha nyoka hakisikii lolote na kinayajua yooote
 
- Jamii inatakiwa ihimizwe kuzuia mimba za utotoni.. mtoto akipata mimba kisaikolojia itamtesa sana iwe anasoma au hasomi. Sasa kwann turuhusu na tuchukulie poa watoto kuteseka wakati mateso yanazuilika.
- Concern yangu ni kwamba tabia za ngono haziongelewi, ila likija suala la matokeo ya mimba kila mtu anajifanya kuumia.

Kupata mimba sio right ya mtoto mbona hizo women's right groups haziongelei.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili swala la kufundisha elimu ya ngono mapema shuleni ni gumu sana. Kuna wazazi hawakubaliani nalo kutokana na imani za dini.

Nimefanya kazi na vijana wanafunzi, mabinti kuna mabinti walichomwa sindano za kuzuia mimba pasi wazazi wao kujua na wengine walipewa referral ya kwenda abotion clinic pasi wazazi wao kujua. Si kama serikali ilipenda lakini wengi wa hawa mabinti wanatoka kwenye familia duni na kupata kwao watoto inamaana duara la umasikini linaendelea kwenye jamii wanauotoka.
 
Halichukuliwi kama siasa, world bank wamestudtushwa na kauli ya mkuu wa nchi kuhusu hatima ya mabinti wanaopata mimba shuleni. Jibu ni kufanya mabadiliko na kuwataarifu msimamo mpya wa serikali.
Msimamo mpya upi? Kawaida mwanafunzi akifeli anaondoka shuleni, mimba ni moja ya failure ya mwanafunzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasema elimu ya ngono, namaanisha elimu ya maadili na dini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna sheria inayomkataza msichana wa shule (aliyepata mimba) kuendelea kusoma shule binafsi.

Hao ni watu wazima, huwezi fananisha na mtoto wa form two mwenye mtoto.
Kutatua tatizo kwa kutumia tatizo nikuongeza ujinga juu ya ujinga sitoshangaa nchi kama tz kuendelea kwakusuasua sababu yakukosa plan B yani kukariri lazima
 
You should quote President TRUMP aand WB on this.. Your thread doesnt have to go unnoticed.
T 2025 JPM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…