MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Mkuu, hao wanaoadhibiwa ni watoto, bado hawana uwezo na uzoefu wa kupambana na mikikiki ya kimaisha. Tuwaoneshe upendo, kama Mungu angekua anatuadhibu kwa style hiyo nani angesimama? Mimba haimfanyi mtu kupoteza utoto wake au utu wake, haki ya elimu ni haki ya kibinadamu na ni haki ya kila mtoto.
Sawa mzee. Hapo una maana.kwa sheria ya Tanzania mtoto yoyote under age ukifanya naye mapenzi umebaka.
Someni penal code jamani.
nashauri mtoto akipata ujauzito akiwa shuleni, baada ya kujifunga aendelee na masomo yake.Sawa mzee. Hapo una maana.
Unashauri nini kwa maono yako?
- Jamii inatakiwa ihimizwe kuzuia mimba za utotoni.. mtoto akipata mimba kisaikolojia itamtesa sana iwe anasoma au hasomi. Sasa kwann turuhusu na tuchukulie poa watoto kuteseka wakati mateso yanazuilika.Mkuu, hao wanaoadhibiwa ni watoto, bado hawana uwezo na uzoefu wa kupambana na mikikiki ya kimaisha. Tuwaoneshe upendo, kama Mungu angekua anatuadhibu kwa style hiyo nani angesimama? Mimba haimfanyi mtu kupoteza utoto wake au utu wake, haki ya elimu ni haki ya kibinadamu na ni haki ya kila mtoto.
Hili swala la kufundisha elimu ya ngono mapema shuleni ni gumu sana. Kuna wazazi hawakubaliani nalo kutokana na imani za dini.- Jamii inatakiwa ihimizwe kuzuia mimba za utotoni.. mtoto akipata mimba kisaikolojia itamtesa sana iwe anasoma au hasomi. Sasa kwann turuhusu na tuchukulie poa watoto kuteseka wakati mateso yanazuilika.
- Concern yangu ni kwamba tabia za ngono haziongelewi, ila likija suala la matokeo ya mimba kila mtu anajifanya kuumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimamo mpya upi? Kawaida mwanafunzi akifeli anaondoka shuleni, mimba ni moja ya failure ya mwanafunzi.Halichukuliwi kama siasa, world bank wamestudtushwa na kauli ya mkuu wa nchi kuhusu hatima ya mabinti wanaopata mimba shuleni. Jibu ni kufanya mabadiliko na kuwataarifu msimamo mpya wa serikali.
Sijasema elimu ya ngono, namaanisha elimu ya maadili na dini.Hili swala la kufundisha elimu ya ngono mapema shuleni ni gumu sana. Kuna wazazi hawakubaliani nalo kutokana na imani za dini.
Nimefanya kazi na vijana wanafunzi, mabinti kuna mabinti walichomwa sindano za kuzuia mimba pasi wazazi wao kujua na wengine walipewa referral ya kwenda abotion clinic pasi wazazi wao kujua. Si kama serikali ilipenda lakini wengi wa hawa mabinti wanatoka kwenye familia duni na kupata kwao watoto inamaana duara la umasikini linaendelea kwenye jamii wanauotoka.
Kutatua tatizo kwa kutumia tatizo nikuongeza ujinga juu ya ujinga sitoshangaa nchi kama tz kuendelea kwakusuasua sababu yakukosa plan B yani kukariri lazimaHakuna sheria inayomkataza msichana wa shule (aliyepata mimba) kuendelea kusoma shule binafsi.
Hao ni watu wazima, huwezi fananisha na mtoto wa form two mwenye mtoto.
You should quote President TRUMP aand WB on this.. Your thread doesnt have to go unnoticed.President Magufuli warned schoolgirls at a rally on Monday that: "After getting pregnant, you are done."
A law passed in 2002 allows for the expulsion of pregnant schoolgirls.
The law says the girls can be expelled and excluded from school for "offences against morality" and "wedlock".
Women's rights groups have recently been urging the government to change the law.
President Magufuli, who was speaking at a public rally in Chalinze town, about 100km west of the main city Dar es Salaam, said that young mothers would be distracted if they were allowed back in school:
"After calculating some few mathematics, she'd be asking the teacher in the classroom: 'Let me go out and breastfeed my crying baby.'"
He said that men who impregnate the schoolgirls should be imprisoned for 30 years and "put the energy they used to impregnate the girl into farming while in jail".
Gubu hilo mtu kaweka alichoelewa.Tena nawe unakuja kuuliza swali..Shida iko wapi, si umeelewa?