President Magufuli, he was a true leader and a real son of Africa

umesema sina nyongeza
 
Nilidhani zitto wa njaa kumbe ni Zitto wa kushiba, sometimes haya majina yatofautishwe tusije acha kusoma uzi kumbe ni bland nyingine kabisa ya mtu ndiye kaandika.
 
Mkuu huyu Zitto Mardebela anamshinda Zitto Kabwe na mbali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Kabwe yeye ni mnafiki, wakati Mardebela ni mkweli.
Huyo Mardebela alikuwa anaishi wapi kipindi hicho? Maana nijuavyo mimi, huwezi sifia chakula usichokila. Ukila utajua kiasi cha chumvi na pilipili yake
 
Kwani kafariki?
Mbona ukiwasililiza CHADEMA na CCM ni kama bado yupo?
Hakika mkuu, mbona ipo wazi kuwa 2025, kuna wagombea wa CCM, Chadema na wapinzani wengine wataomba kura kwa wanyonge na walalahoi kupitia jina la Magufuli.
 
Nilidhani zitto wa njaa kumbe ni Zitto wa kushiba, sometimes haya majina yatofautishwe tusije acha kusoma uzi kumbe ni bland nyingine kabisa ya mtu ndiye kaandika.
Nimekupata mkuu wangu, shukran sana 🙏
 
Huyo Mardebela alikuwa anaishi wapi kipindi hicho? Maana nijuavyo mimi, huwezi sifia chakula usichokila. Ukila utajua kiasi cha chumvi na pilipili yake
Ameishi Tanzania miaka 4, kuanzia 2017 hadi 2021.
 
Hawa ndio wale ambao magufuli alifanikiwa sana kuwadanganya kutoka mbali. He was the most terrible leader of our time.
 
Uwepo wa magufuri ikulu takatifu ya Tanzania ilikuwa ni laana.

Mungu apishe mbali asijetokea MTU kama yule tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…