Kudo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 1,821
- 6,119
Mmmmmmmmh[HASHTAG]#26042018[/HASHTAG]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmmmmmh[HASHTAG]#26042018[/HASHTAG]
Hakujua kuweka pesa na atumie vipi wakati anakufa alikuwa masikini kama si yeyeKichwa cha habari: Dikteta Tajiri Aliyeishi Kwenye Mwenendo wa Umaskini.
Habari yenyewe: Inakuonyesha mtu akiishi kwa anasa akifuja pesa, kumiliki mali na kukodi ndege kila anapotaka.
Kazi ipo
Jiwe...muda utaongeaNaona Replica hapa kwetu, vile alivyoanza Mabuto kama mpinga rushwa mpaka kuwa fisadi papa na dekteta balaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Big IQ pumbavvvnawaangalia tuu nawacheki nasema hiiiiiii...
Imelililikaje?Story ndefu hujaipanga katika mtililiko mzuri..by the way tumekupata
HaaaJiwe apewe nakala
Sijatukana Chief ila nimeuona uelewa wako katika akili ya kufikiria zaidi ya wengineHahaha umeamua kukimbilia kutukana au siyo?
Kwahiyo maskini ndiyo hua wanafuja pesa?
Wananunua magari 140?
Wanakodi ndege?
Ukiambiwa hakuna relevance ya kichwa na habari husika unajifanya una akili kushinda wenzako, lafaeli unazingua.
Hakujua kuweka pesa na atumie vipi wakati anakufa alikuwa masikini kama si yeye
So yaeza kuwa ni masikini wa akili pia......
Jaribu kutumia akili japo nusu tu uelewe ulichokisoma
Mwenye macho haambiwi tazama....fikirisha ubongo wako....Kichwa cha habari: Dikteta Tajiri Aliyeishi Kwenye Mwenendo wa Umaskini.
Habari yenyewe: Inakuonyesha mtu akiishi kwa anasa akifuja pesa, kumiliki mali na kukodi ndege kila anapotaka.
Kazi ipo