President ngabu n, tolea ufafanuzi swala hili

President ngabu n, tolea ufafanuzi swala hili

Mimi sishauri mbeba mabox yeyote yule ajihusishe na wanugu katika kusaka makaratasi.

Wanugu siyo reliable kabisa. Kuna wabeba maboksi kibao wameachwa njiani kabla hata ishu zao hazijaeleweka. Wanugu wakishajua wewe shida yako makaratasi watakutesa sana aisee. Utajuta kuzaliwa.

Nina mshikaji alikuwa anateswa sana na mchuchu wake wa kinugu. Mara afungiwe nje wakati wa winter. Mara aitiwe polisi kisa wamedundana. Weekends mchuchu anatoka na wanugu wenzake wanaenda club.

Mijamaa inakuja kumchukua demu na mi Cadillac Escalades yenye 24 inch spinners jamaa anabaki nyumbani tu anaugulia maumivu. Yaani full drama kwa kwenda mbele.

Mpaka leo hii mshikaji hajapata makaratasi na bongo kurudi hawezi na unyamwezini ana miaka 12 sasa. Yaliyobaki ni majuto tu.

Makaratasi ya uhakika na yasiyo na drama yanapatikana kupitia kwa wachuchu wa kizungu hususan wale vibonge. Yaani kwa mfano ukilipata tunye tunye lenye kilo kama 300 hivi hapo lazima uirambe kijani yako kiulaini sana.

Haya ma XXXL huwaga hayako demanding kama jinsi vi beauty queens vilivyo. Hayajali kama wewe una hela au huna. Unachotakiwa kufanya ni kuyapa dozi ya uhakika walau mara mbili kwa wiki hivi. Si unajua tena haya huwaga hayana soko kihivyo...sasa yakimpata mtu anayegawa dozi ya ukweli....utakuwa umemaliza kila kitu.

Ukiliridhisha utatendewa kama mwana mfalme. Utapikiwa, ukirudi toka kwenye boksi unakuta msosi mezani. Halafu uzuri wake haya huwa yako tayari hata kujifunza jinsi ya kupika wali nyama. Yaani utatunzwa kuliko hata wazazi wako walivyokutunza.

Sasa haya ma XXXL yanapatikana maeneo ya Midwest na kule Pacific Northwest. Pande za East Coast na Deep South hayapatikani kiurahisi. Kwa hiyo mtu kama haupo maeneo hayo na una mahesabu ya kujikamatia kijani yako mimi nashauri ufunge virago uhamie pande za Minesotta, North na South Dakota, Illinois, Wisconsin, Iowa, au hata Michigan na Indiana.

Halafu epuka miji mikubwa mikubwa kama Chicago na Minneapolis-St.Paul. Tafuta miji midogo midogo kama Winona, Schaumburg, Dubuque, Forest City, n.k.

Huko kwenye hivyo vi miji vidogo mtu mweusi yeyote wenzio wanakuona kama P Diddy. Na mkiwa wachache basi mtaila sana hiyo mi XXXL.

Na hata ukifanya utafiti wa haraka haraka utaona kwamba wabeba mabox wengi walioko pande za huko Midwest makaratasi wanayo. Na ukiangalia wabeba maboksi walio kwa mfano huko Texas, ni wachache sana wenye kijani na ndo maana wanaishia kuwa wazungu wa chip.
Hakika we ni zaidi ya Rais wa wabeba mabox.....by the way jamaa watakua wamejifunza kitu...
 
@ prezdaa NN

Nina sisy wangu alikimbilia huko ughaibuni miaka kama 9 iliyopita ,
Kila siku nikumuuliza mbona huji kusalimia home
anadai next year kila siku ,next year mpaka leo inaelekea kukamilika mwaka wa 9.5
Lakini kila siku namuona FB mara leo kaweka nywele za blue, kesho za kijani ,yuko club tofauti tofauti na anapiga picha na magari ya kila aina:biggrin:
Kila Nikimuuliza how do you do for life in ughaibuni anadai bado bado namalizia degree yangu.
Nashindwa kuelewa kabisa nini kimemkwamisha binti kurudi home hata mara moja kwa miaka 4
na hiyo degree huwa haiishi..
Nini tatizo huko?

Suali umelielekeza kwa Rais lakini hapo naona kama ni ukosefu wa makaratasi ndio tatizo. Hawezi kutoka maana hataweza kurudi tena.
 
Vijana njooni bongo tusukume mbele gurudumu la maendeleo mtaolewa na wanawake hadi lini?
 
Mimi sishauri mbeba mabox yeyote yule ajihusishe na wanugu katika kusaka makaratasi.

Wanugu siyo reliable kabisa. Kuna wabeba maboksi kibao wameachwa njiani kabla hata ishu zao hazijaeleweka. Wanugu wakishajua wewe shida yako makaratasi watakutesa sana aisee. Utajuta kuzaliwa.

Nina mshikaji alikuwa anateswa sana na mchuchu wake wa kinugu. Mara afungiwe nje wakati wa winter. Mara aitiwe polisi kisa wamedundana. Weekends mchuchu anatoka na wanugu wenzake wanaenda club.

Mijamaa inakuja kumchukua demu na mi Cadillac Escalades yenye 24 inch spinners jamaa anabaki nyumbani tu anaugulia maumivu. Yaani full drama kwa kwenda mbele.

Mpaka leo hii mshikaji hajapata makaratasi na bongo kurudi hawezi na unyamwezini ana miaka 12 sasa. Yaliyobaki ni majuto tu.

Makaratasi ya uhakika na yasiyo na drama yanapatikana kupitia kwa wachuchu wa kizungu hususan wale vibonge. Yaani kwa mfano ukilipata tunye tunye lenye kilo kama 300 hivi hapo lazima uirambe kijani yako kiulaini sana.

Haya ma XXXL huwaga hayako demanding kama jinsi vi beauty queens vilivyo. Hayajali kama wewe una hela au huna. Unachotakiwa kufanya ni kuyapa dozi ya uhakika walau mara mbili kwa wiki hivi. Si unajua tena haya huwaga hayana soko kihivyo...sasa yakimpata mtu anayegawa dozi ya ukweli....utakuwa umemaliza kila kitu.

Ukiliridhisha utatendewa kama mwana mfalme. Utapikiwa, ukirudi toka kwenye boksi unakuta msosi mezani. Halafu uzuri wake haya huwa yako tayari hata kujifunza jinsi ya kupika wali nyama. Yaani utatunzwa kuliko hata wazazi wako walivyokutunza.

Sasa haya ma XXXL yanapatikana maeneo ya Midwest na kule Pacific Northwest. Pande za East Coast na Deep South hayapatikani kiurahisi. Kwa hiyo mtu kama haupo maeneo hayo na una mahesabu ya kujikamatia kijani yako mimi nashauri ufunge virago uhamie pande za Minesotta, North na South Dakota, Illinois, Wisconsin, Iowa, au hata Michigan na Indiana.

Halafu epuka miji mikubwa mikubwa kama Chicago na Minneapolis-St.Paul. Tafuta miji midogo midogo kama Winona, Schaumburg, Dubuque, Forest City, n.k.

Huko kwenye hivyo vi miji vidogo mtu mweusi yeyote wenzio wanakuona kama P Diddy. Na mkiwa wachache basi mtaila sana hiyo mi XXXL.

Na hata ukifanya utafiti wa haraka haraka utaona kwamba wabeba mabox wengi walioko pande za huko Midwest makaratasi wanayo. Na ukiangalia wabeba maboksi walio kwa mfano huko Texas, ni wachache sana wenye kijani na ndo maana wanaishia kuwa wazungu wa chip.

Ha Ha Ha! Kwa hiyo Mkuu we ushajipatia Tunye Tunye lako!
 
Uraisi zigo la misumari!!!
Na nimeamini ukiwa raisi jiandae kutoa lekcha hata ya kupika bajia na uwe unajua.

hahaha itabidi tu ujue or else utatolewa uraisi kwa "vote of no confidence"...
 
230947_10150180164339851_540014850_6826252_6087291_n.jpg

311618_2143917469774_1001365722_31897317_1031699704_n.jpg
 
Back
Top Bottom