President Trump has been Impeached after the House of Representatives voted in favour of charging him with abuse of power and obstruction of Congress

President Trump has been Impeached after the House of Representatives voted in favour of charging him with abuse of power and obstruction of Congress

Huwa nakuelewa lakini wengi huwa hatukuelewi sasa sijui ukoje wewe kwani ukivaa kombati unakuwa Mayalla Mayalla kweli na pindi ukitoa kombati unarudi kuwa kuwa Pascal yule wa kabla ya kwenda kusalimia Idodomya....kikubwa mkuu ni katiba inayokata kama msumeno bila kuangalia huyu ni msukuma au mchaga au anatoka chama gani
Asante kwa good observation, sasa turejee kujikita kwenye mada iliyopo mezani!.
P
 
Mkuu Kite Muganga, with due respect, naomba heshimu mada iliyopo mezani!, jikite kwenye mada!.
P


Abuse of power and Obstruction of Congress?

Wahi kazini Pascal wenzio sie tuliitwa watumishi hewa baada ya kutumikia miaka 30 na tukatupwa kama vibaka leo tumepaki majumbani kazi yetu ni kutoa povu kama la mpapai ambalo halitakatishi lakini tunaamini litatakatisha yaani ni kama vile tunasubiria msamaha kama wa wafungwa wa juzi angalau basi turudishiwe nguvu zetu za michango tuliyochangia NPF, NSSF,PPF etc
 
Abuse of power and Obstruction of Congress?

Wahi kazini Pascal wenzio sie tuliitwa watumishi hewa baada ya kutumikia miaka 30 na tukatupwa kama vibaka leo tumepaki majumbani kazi yetu ni kutoa povu kama la mpapai ambalo halitakatishi lakini tunaamini litatakatisha yaani ni kama vile tunasubiria msamaha kama wa wafungwa wa juzi angalau basi turudishiwe nguvu zetu za michango tuliyochangia NPF, NSSF,PPF etc
Pole sana ndugu yangu; je ulikuwa mtumishi hewa au ulikuwa na vyeti visivyotambulika? Nadhani watumishi hewa ni wale waliokuwa kwenye payroll, lakini hapatikana kwenye roll call. Kama ulikuwa kwenye roll call na bado wakakutema, tafuta mwanasheria mzuri akusaidie kupata haki yako kwani kesi hiyo ni rahisi sana. Ila kama ulikuwa kwenye kazi kwa kutumia cheki kisicho halali kesi yake ni ngumu kidogo, lakini bado ni vizuri kujaribu kuipeleka mbele ya vyombo vya sheria.
 
Bado hajaondolewa, impeachment siyo kumuondoa bali it paves a way for the debate on his removal!

see definition:In US , impeachment is a "charge" of misconduct made against the holder of a public office.
"the president is facing impeachment over the scandal"..... sasa anakwenda kuwa grilled ili ikiwezekana aondolewe.
👍! Noted
 
Mabeberu wako busy zizini kwao msimu huu mpaka raahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wao jamaa wanajua kumalizana kidiplomasia zaidi tofauti na sisi ambao hua 2na amini zaidi katika kutumiliana maguvu yaso sababu zakimsingi wala nn katika mambo ambayo hata yawezekana kwakumalizana 2 kwa maongezi


Nb:sisemi kama hio system haifai kufuatwa ndani ya bara letu adhwimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo wasiomtaka wakishinda jamaa anaondoka kabla ya term yake kuisha?
yeah ni kweli kwenye sennet ikipatikana hiyo 67% inayomuona ana makosa anayoshtakiwa nayo anaondoka kabla ya muda wake kwisha, makamu wake atakuwa prizidaa mpaka uchaguzi utakapofanyika. lakini hiyo ni ngumu sana sidhani kama Republican watakubaliana na hilo ndio wengi kwenye sennet. hata hivyo Trump naye humohumo Republican wengi wanapingana na baadhi ya mambo yake.Unakumbuka ya Bill Clinton.?!?
 
Trump impeachment: The 15 best lines from the House debate
Dozens of House members uttered tens of thousands of words during Wednesday's historic impeachment debate. Here are some of the buzziest.


House Television via AP

Dec. 19, 2019, 12:55 AM EAT

By Adam Edelman

There was solemnity. There was anger. There was hyperbole.

Wednesday's historic full House debate on the two articles of impeachment against President Donald Trump has had it all.

Here are the 15 standout lines from Wednesday's debate so far:

"He gave us no choice"

House Speaker Nancy Pelosi

"But, very sadly, now, our Founders’ vision of our Republic is under threat from actions from the White House. That is why, today, as Speaker of the House, I solemnly and sadly open the debate on the impeachment of the President of the United States. If we do not act now, we would be derelict in our duty. It is tragic that the President’s reckless actions make impeachment necessary. He gave us no choice.”

Jesus afforded "more rights" than Trump

Rep. Barry Loudermilk, R-Ga.



"When Jesus was falsely accused of treason, Pontius Pilate gave Jesus the opportunity to face his accusers. During that sham trial, Pontius Pilate afforded more rights to Jesus than the Democrats have afforded this president in this process."

Loudermilk: 'Pontius Pilate afforded more rights to Jesus' than Trump has been given

DEC. 18, 201901:23

History will find that "my colleagues...lacked courage"

Intelligence Committee Chairman Adam Schiff



"When the history of this time is written, it will record that when my colleagues found that they lacked the courage to stand up to this unethical president, they consoled themselves by attacking those who did."



Like Pearl Harbor, a "date that will live in infamy"

Rep. Mike Kelly, R-Pa.

“On Dec. 7, 1941, a horrific act happened in the United States, and it’s one that President Roosevelt said, this is a date that will live in infamy. Today, Dec. 18, 2019, is another date that will live in infamy.”







Davis: President Trump is 'impeaching himself'

DEC. 19, 201900:35

When you do what Trump did, "you're going to get impeached"

Rep. Susan Davis, D-Calif.

"Make no mistake, we are not impeaching this president. He is impeaching himself. If you are the president, and you obstruct justice, try to bribe a foreign leader and threaten national security, you're going to get impeached. End of story."

"A moral obligation"

Rep. John Lewis, D-Ga

"When you see something that is not right, not just, not fair, you have a moral obligation to say something, to do something. Our children and their children will ask us what did you do? What did you say? For some, this vote may be hard. But we have a mission and a mandate to be on the right side of history."

"Heavy burden of shame and guilt"

Rep. Matt Gaetz, R-Fla.

"Those who vote 'yes' on today's articles of impeachment must carry the heavy burden of shame and guilt for as long as they serve in Congress — which won't be long, because the American people will remember in November. Democrats would rather trip the president just to see him stumbling than see America succeed."

"The president is the smoking gun"

Rep. Pramila Jayapal, D-Wash.

"He solicited foreign interference before, he is doing it now, and he will do it again. The president is the smoking gun.”

"This country's end is now in sight"

Rep. Louie Gohmert, R-Texas

“In 1998, Sen. Schumer said, and I quote, 'This impeachment will be used as a routine tool to fight political battles.' We thought it was a prediction. It was a promise, and now it's playing out. It's exactly what's being done here … This is a travesty, and we're in big trouble, because Schumer was right. Now it's lowered the bar. It will be used for political battles, and this country's end is now in sight. I hope I don't live to see it. This is an outrage."

"Doing nothing is not an option"

Rep. Rashida Tlaib, D-Mich.

"Doing nothing here is not an option. Looking away from these crimes against our country is not an option. This is about protecting the future of our nation and our democracy from corruption, abuse of power, criminal cover-ups, and bribery."

Democrats "found a way" to "make a coup attempt boring"

Rep. Devin Nunes, ranking member of House Intelligence Committee

"The Ukraine hoax was based on a supposed whistleblower who colluded beforehand with the Democrats. The Democrats then prevented Congress from intervening, interviewing the whistleblower while conducting bizarre, secret depositions and selectively leaking testimony to discredited media hacks. The Democrats showcased the most useful witnesses in public hearings, that somehow reduced support for impeachment. It's not easy to make a coup attempt boring, but the Democrats found a way.

Impeachment "not only patriotic, it is uniquely American"

Rep. Ayanna Pressley, D-Mass.

"What we are doing here today is not only patriotic, it is uniquely American. America is a story of ordinary people confronting abuses of power with a steadfast pursuit of justice. Throughout our history, the oppressed have been relegated to the margins by the powerful, and each time, we have fought back, deliberate in our approach, clear-eyed.”

Pelosi: 'Today we are here to defend democracy for the people'



DEC. 18, 201908:34

Democrats have "weaponized" the Constitution

Rep. Mike Johnson, R-La.

“There has never been a single-party, fraudulent impeachment process like the one being used today. Our Democratic colleagues have weaponized the impeachment provision of the Constitution to nullify the votes of 63 million Americans who elected President Donald J. Trump."

"There can be no serious debate about the evidence at hand"

Judiciary Committee Chairman Jerry Nadler



"Taken together, the two articles charge that President Trump placed his private, political interests above our national security, above our elections, and above our system of checks and balances. After months of investigation, there can be no serious debate about the evidence at hand."

"Not a solemn occasion"

Rep. Doug Collins, ranking member of House Judiciary Committee



"I've said it before and I will say it again. I do not believe, no matter what was said today and what has been said, this is not a solemn occasion. When you go looking for something for three years, and especially this year, since January, you ought to be excited when you found it. But they can't. Because I know what has now happened. It took me last night but I was thinking about it. Why do we keep calling this a solemn occasion when you've been wanting to do this ever since the gentleman was elected?"

Adam Edelman
Wenzetu wanajenga hoja hawatumii nguvu nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri wao jamaa wanajua kumalizana kidiplomasia zaidi tofauti na sisi ambao hua 2na amini zaidi katika kutumiliana maguvu yaso sababu zakimsingi wala nn katika mambo ambayo hata yawezekana kwakumalizana 2 kwa maongezi


Nb:sisemi kama hio system haifai kufuatwa ndani ya bara letu adhwimu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Diplomasia watu wanashindana kwa hoja na logic

Ukizidiwa hoja usipige mtu kajipange

Hapa kwetu can you even question that guy?.
Ni funzo kwenye 'good governance'
 
Siyo kweli; wakati wa impeachment ya Clinton mwaka 1998, Congress na Senate zilikuwa chini ya Republican na bado hawakumtoa. Mwaka 1974 wakati wa impeachment ya Nixon, iwapo senators wote 42 wa republican wangesimama kumtetea Nixon, bado asingeondolewa lakini hao hao ndio waliomwambia Nixon kuwa amevunja sheria itabidi aondolewe, ndiyo maana Nixon akajiuzulu mapema. Wakati huo wanasiasa wa Marekani wote walikuwa na adui mmoja, yaani ukomunist, kwa hiyo walikuwa wanaedesha siasa zao za ndani kwa kufuata ukweli na sheria sana. Kuanzia Gingrich achafue mfumo wa kisiasa mwaka 1994, huku kukiwa hakuna hofu ya ukomusit tena, wamarekani walianza siasa za kugombana wenyewe kwa wenyewe kufuata itikadi za vyama bila hata kuangalia ukweli na sheria ziasemaje. Wote wanaomtetea Trump leo wanafanya hivyo tu kwa sababu ni wa chama chao, ingawa wanaona ukweli wa wazi wazi kuliko ule wa Benghazi au wa Fire na Fury wakati wa utawala wa Obama.

Nadhani utakuwa umewaona jinsi watetezi wa Republican wanavyowayawaya hovyo hovyo bila mantiki yoyote: Kwa mfano wanataka Whistle blower ajulikane, wakati yeye alichofanya ni kutoa tahadhali tu kuwa kuna jambo baya lifuatiliane, na wala kwenye list ya ushahidi hakuna hata neno moja la huyo Whistle blower lakini wao wameng'ang'ania huko huko na kuacha ushahidi wote uliotolewa na viongozi wa serikali waliohusika. Vile vile wanalalamika kuwa utaratibu siyo wa haki wakati Kamati zote za Congress zina wajumbe waliochaguliwa na vyama vyao, halafu utaratibu unaofuatwa ni ule uliowekwa na wao haoa hao Republican wakati walipokuwa majority.

Trump aliwahi kusema hivi kuhusu Obama hivi

Leo maneno yake yamemrudia mwenyewe!
Nimeamini hii issue iko kivyama zaidi, si unaona wewe pro dems unavyowayawaya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom