President Uhuru Kenyatta in military uniform - PHOTOS

President Uhuru Kenyatta in military uniform - PHOTOS

huyu sio intelligent, ni limbukeni tu anapelekwapelekwa na m7 na pk. rais intelligent africa mashariki kama asingekuwa muuaji, ni paul kagame, uhuru nafikiri atashika mkia. wakenya walifanya kosa kubwa sana kutomchagua raila odinga, huyu ndiye alikuwa rais bora kabisa east africa yote.wakachagua uhuru kiongozi wa mungiki.

Kuna tofauti kubwa kati ya umaarufu na utenda kazi. Kwa yote alofanya Uhuru, ule mradi wa Galana-Kulabu Irrigation umefanya nimkubali sana. Yaani ataziba tatizo la njaa Kenya kwa kuhusisha ekari milioni kwenye ukulima wa irrigation.
Halafu reli ya SGR anaikimbisha sana, itatuwezesha kuwafikishia Warwanda na Wasudan Kusini mizigo kwa siku moja.

Jamaa ana nguvu za kiajabu.
 
huyu sio intelligent, ni limbukeni tu anapelekwapelekwa na m7 na pk. rais intelligent africa mashariki kama asingekuwa muuaji, ni paul kagame, uhuru nafikiri atashika mkia. wakenya walifanya kosa kubwa sana kutomchagua raila odinga, huyu ndiye alikuwa rais bora kabisa east africa yote.wakachagua uhuru kiongozi wa mungiki.

seriously. huwa sipendi kuchangia hapa lakini the level of ignorance you're portraying is rather alarming. do you know what you are saying or even have the slightest clue. listen here lazy gossip za mtaani usiilete hapa iwapo hujui. you aint kenyan and i doubt it is in your place to comment on who we shouldve voted for. otherwise what will happen if kenyans started telling you who to vote for. highly doubt you'd love that. mngetuita manyang'au kama mlivyozoea. matusi ya peni mbili.
 
Hahaha!! mbavu zangu nusra zivunjike, haya basi ugomvi uishe, kadunga kiraia leo kwenye kikao chake na aliyekua rais wa Germany Dr. Horst Koehler

10676393_907777395917481_36736398405330248_n.jpg

!
!
si unamjua kwa bisifa!....bahati mbaya ana vimiguu ka miswaki kwenye glasi eikeiei kontena limesimamia chelewa. Angekuwa na ulegi wa ukweli nadhani angetokelezea na pensi siku moja.
 
Nimeipenda sana hii picha
 

Attachments

  • 1410066568040.jpg
    1410066568040.jpg
    65.6 KB · Views: 234
  • 1410066609323.jpg
    1410066609323.jpg
    53.8 KB · Views: 184
Kesho akiwa kama Museveni au Gadafi wakenya wasilalamike !
Mtoto huanza kutambaa mpaka anafikia kukimbia!


Je amepitia Jeshi kabla ya hapo ?
Je akiwa kama Raisi amekwenda mafunzo hata ya wiki moja ya kumwezesha kuwa na hadhi na heshima ya kufaa hizo nguo?
Au amevaa kwa sababu ni amiri Jeshi Mkuu na hivyo hakuna anayeweza kumhoji?

Hiyo sentensi ya mwisho ndio jibu
 
halafu jamaa anavyo penda kuuza sura facebook,hizi picha lazima atakuwa ka-share kwenye wall yake.nina sikia JK ni mwanajeshi kamili (ulumn of monduli military academy) ,mbona hajawahi kuvaa haya mavazi.?.
Kikwete ameyavaa saana alipokuwa jeshi, hana hajanayo tena yashamchosha.
 
anaonekana legelege kuliko hata mtu wa mtaani. bahati mbaya ndiye rais pekee laini asiyekuwa mwanajeshi katika east africa.anatia huruma aisee.

Angekuwa jk hapa ?
 

Attachments

  • 1410069179624.jpg
    1410069179624.jpg
    11.1 KB · Views: 87
Vazi amelivaa akienda ku-preside military function, mbona maswali haya hamkuuliza alipovaa sare za Rugby, unafiki tuu.

UKres.jpg

Ni viongozi wangapi wa dunia waliowahi kuvaa RUBEGA za kiMasai,kuruka kimasai na kupiga nazo picha!?
Si wako wengi tu!?

Je,Waliporudi makwao walisemwa?

Majuzi J.K kavalishwa kimila na kupewa heshima ya uChifu somewhere huko bush.
=>Mbona hamkusema kaleta ukabila?

*Kaka eeeh! Big up!*

WAAMBIE WADAU WAACHE USHAMBA Jf.
 
Hivi maana ya he neno "mjeda au wajeda" huwa ni mini?
wakenya wanatia huruma sana. huyu ndiye rais pekee east africa ambaye sio mjeda. ikitokea vita hapo mtamkuta uvunguni mwa kitanda.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya umaarufu na utenda kazi. Kwa yote alofanya Uhuru, ule mradi wa Galana-Kulabu Irrigation umefanya nimkubali sana. Yaani ataziba tatizo la njaa Kenya kwa kuhusisha ekari milioni kwenye ukulima wa irrigation.
Halafu reli ya SGR anaikimbisha sana, itatuwezesha kuwafikishia Warwanda na Wasudan Kusini mizigo kwa siku moja.

Jamaa ana nguvu za kiajabu.

LAPPSET PROJECT haikuwa manifesto yake Uhuru....hiyo reli uliyotaja hapo ilikuwa ni brainchild project ya ODM (infrastructure)chini ya grand coalition government,ila upande wa PNU walikuwa na free education.
Jubilee mouthpiece kweli!
 
LAPPSET PROJECT haikuwa manifesto yake Uhuru....hiyo reli uliyotaja hapo ilikuwa ni brainchild project ya ODM (infrastructure)chini ya grand coalition government,ila upande wa PNU walikuwa na free education.
Jubilee mouthpiece kweli!

Wewe wacha kutoka povu mdomoni,
- Hakuna sehemu nimetaja LAPSET, soma taratibu kabla hujaropoka ovyo,
- Pili nimesema anavyoikimbisha reli, sijasema kaanzisha yeye, bali anavyoishughulikia, ama ulitaka aachane nayo kwa ajili ni brainchild ya ODM, typical village mentality..
 
Naona siku hizi Uhuru anatajwa sana positively katika international media, na hata Kenya inajitokeza sana kama yenye kufanikiwa...si vibaya, ni vyema.

Ningependa kujua wanatumia kampuni gani ya PR (kama PK alivyokuwa akishauriwa na Tony Blair)...
 
Back
Top Bottom