Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapokuja emergence ndio utajua bro
!
!
baba nanii hakawii kuiga.
Muda si mrefu mkuu wetu nae tutamuona katupia batiki yake.
Acha ulimbukeni sasa. Kikwete ni mwanajeshi. Hahitaji maigizo. Hizi siasa zenu za kitoto zinazowafanya mjione duni zitawapeleka kubaya!Muda si mrefu mkuu wetu nae tutamuona katupia batiki yake.
Wamemvisha filimbi kwani yeye mgambo? Ataitumia saa ngapi?
Alianza nazo siku nyingi na kurudia haitakuwa habari
Acha ulimbukeni sasa. Kikwete ni mwanajeshi. Hahitaji maigizo. Hizi siasa zenu za kitoto zinazowafanya mjione duni zitawapeleka kubaya!
Mbona unakasirika sasa?Naona umekurupuka tu.
Kwani nani kasema Jk ni mgambo?
Ulimbukeni uko wapi hapo?
Wewe kila kitu umekariri ni siasa tu.
Weka basi hizo siasa zako za kikubwa nizione.
Acha nikupuuze tu.
huyu sio intelligent, ni limbukeni tu anapelekwapelekwa na m7 na pk. rais intelligent africa mashariki kama asingekuwa muuaji, ni paul kagame, uhuru nafikiri atashika mkia. wakenya walifanya kosa kubwa sana kutomchagua raila odinga, huyu ndiye alikuwa rais bora kabisa east africa yote.wakachagua uhuru kiongozi wa mungiki.Lakini ndio rais intelligent kuliko wanajeshi marais wa east africa