Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu naye ni kilaza kweliUganda ibadilishe jina la ziwa ambalo liko kwetu zaidi ya nusu? Mmh! Ndo maana wanakuzodoa sana hukp kwenu!
Khaaaa, hapana kwa kweli, kwani kabla ya kuitwa hilo victoria, wenyeji walikua wanaliitaje???Napendekeza liitwe LAKE JULIUS KAMBARAGE NYERERE kwa heshima ya Baba wa Taifa.
Halafu jina lake Jacob alipewa na mzungu aliyembatiza. Mbona hajabadili? Bora Joseph alianza yeye kujiita Mobutu ndo akawaambia na wenzake wabadili....na jina Jacob je, linamhusu? nafikiri angeanza na hilo kwanza.
Rais Zuma ataka Ziwa Victoria libadilishwe jina
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameitaka Uganda kubadili jina la Ziwa Victoria ili liendane na jina linalowakilisha uhalisia wa wananchi wa eneo hilo.
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameitaka Uganda kubadili jina la Ziwa Victoria ili liendane na jina linalowakilisha uhalisia wa wananchi wa eneo hilo.
Kiongozi huyo anayekosolewa vikali nchini mwake amesema tayari amemfahamisha Rais Yoweri Museveni juu ya haja ya kubadilishwa jina hilo.
Jina la Ziwa Victoria lilitolewa na mtafiti mmoja wa Uingereza kama zawadi kwa Malkia wa Taifa hilo aliyetambulika kwa jina la Victoria.
Akizungumza katika ufunguzi wa maonyesho ya utalii mjini Kampala, Rais Zuma amesema Ziwa hilo kuendelea kuitwa Victoria kunawanyima fursa wananchi wa eneo hilo kujivunia uasili wao.
“Mnaweza kuweka bango kubwa linaloonyesha jina la jipya na kisha mkaweka bango dogo litakalosomeka kama “ zamani eneo hili liliitwa Ziwa Victoria”. Lazima mbadilishe jina hili na kuweka jina litakaloelezea uzuri wa Taifa hili,” amesema Rais Zuma.
Rais Zuma ataka Ziwa Victoria libadilishwe jina
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameitaka Uganda kubadili jina la Ziwa Victoria ili liendane na jina linalowakilisha uhalisia wa wananchi wa eneo hilo.
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameitaka Uganda kubadili jina la Ziwa Victoria ili liendane na jina linalowakilisha uhalisia wa wananchi wa eneo hilo.
Kiongozi huyo anayekosolewa vikali nchini mwake amesema tayari amemfahamisha Rais Yoweri Museveni juu ya haja ya kubadilishwa jina hilo.
Jina la Ziwa Victoria lilitolewa na mtafiti mmoja wa Uingereza kama zawadi kwa Malkia wa Taifa hilo aliyetambulika kwa jina la Victoria.
Akizungumza katika ufunguzi wa maonyesho ya utalii mjini Kampala, Rais Zuma amesema Ziwa hilo kuendelea kuitwa Victoria kunawanyima fursa wananchi wa eneo hilo kujivunia uasili wao.
“Mnaweza kuweka bango kubwa linaloonyesha jina la jipya na kisha mkaweka bango dogo litakalosomeka kama “ zamani eneo hili liliitwa Ziwa Victoria”. Lazima mbadilishe jina hili na kuweka jina litakaloelezea uzuri wa Taifa hili,” amesema Rais Zuma.
Lake NyanzaKhaaaa, hapana kwa kweli, kwani kabla ya kuitwa hilo victoria, wenyeji walikua wanaliitaje???
Nadhani jina la mwanzo ndio lingerudi.
Hangover ya kukataliwa kwaoMtu mzima amekosea kidogo hapo.
Mwamuzi wa kubadili jina ni Tanzania na Sio nchi ingine yoyote.
Hajui jiografia?