Mburu kidudu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 532
- 541
nyanza waweza liita hivohii kitu ilikuwa inaniumiza sana kichwa, na nikiwa primary niliwahi muuliza mwalimu wangu kwanini lisiitwe jina la kwetu badala ya kuitwa victoria, huyu victoria ni nani, kwa kweli alinipa jibu ambalo sikuridhika nalo, sasa viongozi wetu hata 1 hakuwahi kuwa na wazo hili, leo hii zuma kaamua kusema, hata mie naungana nae, wacha tuone, mara asiyepangiwa anaweza akagoma kwai hapangiwi