President Zuma Advises Museveni to Rename Lake Victoria

Nasapoti hoja kwa asilimia mia..si bora tuliite Kalekansungu tu.
 
Napendekeza liitwe LAKE JULIUS KAMBARAGE NYERERE kwa heshima ya Baba wa Taifa.
 
Kwa tuliosoma zamani, hilo ziwa hata kwenye atlas za Kiswahili huitwa Ziwa Nyanza. Na ukijibu hivyo kwenye mtihani unapewa alama kamili.
 
Reactions: MTK
Napendekeza liitwe LAKE JULIUS KAMBARAGE NYERERE kwa heshima ya Baba wa Taifa.
Khaaaa, hapana kwa kweli, kwani kabla ya kuitwa hilo victoria, wenyeji walikua wanaliitaje???

Nadhani jina la mwanzo ndio lingerudi.
 
...na jina Jacob je, linamhusu? nafikiri angeanza na hilo kwanza.
Halafu jina lake Jacob alipewa na mzungu aliyembatiza. Mbona hajabadili? Bora Joseph alianza yeye kujiita Mobutu ndo akawaambia na wenzake wabadili.
 
Waludishe jina lake la mwanzo.maana zamani lilikua linafahamika kama ziwa nyanza
But wakitaka kulibadili jina waliite ziwa
1bashite
2magufuli
3zuma
 
Abadili jina kwanza yeye, Jacob amelitoa wapi?
 
Reactions: MTK






Wachana nae huyo Mzee wa scandali, kwanza M7 anamiliki sehemu ndogo sana ya ziwa hilo na pili mbona kule kwake hajabadilisha jina la Durban au Cape town? Hata Pretoria walijaribu kuibadilisha iitwe Tshwane, limegoma bado global identity imebakia kuwa.Pretoria! Na yeye bado anaitwa Jacob kwa nini?
 
Bora libadilishwe na lile jiwe nalo libadilishwe
 
Ni sawa! Hata sisi tulishalibadilisha jina huku Tanzania. Linaitwa ziwa NYANZA! Yaani Lake NYANZA! Uganda Nao sehemu yao wanaweza lake Matoke!
 
Huyo jamaa sio mzima...hata kwake south ametumia gharama kubwa sna kubadilisha MAJINA ya MITAA..kutoka kwenye majina ya KIZUNGU kuweka ya WATU WEUSI...mfano JACOB MALEY...VANDAR WART..hayo ni mfano wa majina ya KIKABURU..yeye ameweka ya KIZULU..mfano ALBET SISULU..nk..hata AIRPORT ya JOBERG zamani iliitwa JAN SMATS airport.. akaibadili nakuwa OLIVER TAMBO...imesababisha USUMBUFU MKUBWA SN..yeye hana anachokijuwa zaidi ya KUCHEZA NGOMA na WANAWAKE...tu.. basi..kaharibu sana ile INCHI..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…