Mburu kidudu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 532
- 541
nyanza waweza liita hivohii kitu ilikuwa inaniumiza sana kichwa, na nikiwa primary niliwahi muuliza mwalimu wangu kwanini lisiitwe jina la kwetu badala ya kuitwa victoria, huyu victoria ni nani, kwa kweli alinipa jibu ambalo sikuridhika nalo, sasa viongozi wetu hata 1 hakuwahi kuwa na wazo hili, leo hii zuma kaamua kusema, hata mie naungana nae, wacha tuone, mara asiyepangiwa anaweza akagoma kwai hapangiwi
Nadhani Zuma kwa elimu yake ya Grede 4 anajua ndivyo inavyokuwa kwa maziwa yaliyo shared kati ya nchi - kama alivyoona Malawi ziwa wanaliita Lake Malawi kwao na kwetu ni Lake Nyasa. Sijui Msumbiji wanaliitaje, Nyasa au Malawi?
Hakika mkuu huyu mzee anataka kutuchonganisha tu!π π yeye amebadilisha majina kama cape town, Johannesburg au nyani analiona la mwenzake!?
Afu ana mpa dili museveni wakati sisi tunao limiliki kwa 51% tumechili tu tuna mpiga chabo.Angetuambia anataka liitweje,,
"Julius" ni jina la Kizungu vile vile!!Napendekeza liitwe LAKE JULIUS KAMBARAGE NYERERE kwa heshima ya Baba wa Taifa.
Kabisaπ π yeye amebadilisha majina kama cape town, Johannesburg au nyani analiona la mwenzake!?