PRESIDENTIAL MEMOIR: Rais Magufuli, baada ya kustaafu, ukipenda kuandika kitabu kama mzee Mkapa, tumia lugha ya wazalendo ya Kiswahili

Viongozi wa pale mtaa wa Ufipa ndio mental cases woooote kwa maana mwenyekiti wao hataki kutoka mwaka wa 20 sasa
 
Sasa unafikiri ataandika kwa Kiingereza cha kutoka wapi, hiki cha Chato kibovu hiki? Angetamani sana lkn hawezi, labda aige mtu risasi ndo anaweza kujaribujaribu
 
Sasa unafikiri ataandika kwa Kiingereza cha kutoka wapi, hiki cha Chato kibovu hiki? Angetamani sana lkn hawezi, labda aige mtu risasi ndo anaweza kujaribujaribu
CHADEMA ndio inapiga watu risasi kwa kung'ang'ania uenyekiti
 
Kwanini wee jamaa unapenda sana kupingana na serikali kwa kila jambo? Unajipenda kweli wee mchagga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…