Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 813
Watoto wa shule za msingi wanaomiliki smartphones nao wamejaa sana humuSiku hizi JF imevamiwa sana
Hilo neno ni tusi kubwa sana mzee baba SojaMkuu, alafu hili neno "motherfvckers" sio zuri kwa watu kama nyie mnaojiita wasomi. Hilo si ni tusi boss?...
Viongozi wa pale mtaa wa Ufipa ndio mental cases woooote kwa maana mwenyekiti wao hataki kutoka mwaka wa 20 sasaChadema wame relax wanaangalia how stupid y'all are...
Korona ipo,korona haipo...watu hawafi,watu wanakufa...hatutaki chanjo,tunataka chanjo...vaa barakoa,usivae barakoa....blah blah blah..
Unaona kabisa the whole government are clinically mental cases!
Sasa unafikiri ataandika kwa Kiingereza cha kutoka wapi, hiki cha Chato kibovu hiki? Angetamani sana lkn hawezi, labda aige mtu risasi ndo anaweza kujaribujaribuBora aandike kwa lugha yake pendwa ya Kisukuma. Sisi wengine hatutakinunua maana tunamjua hapendi kukosolewa, so hawezi kujikosoa kama Marehemu Mkapa alivyojikosoa kwenye kitabu chake, yeye huwa anapatia huwa hakosei hata pale anapokosea wazi wazi, na pia si mkweli wakati mwingine (Refer ahadi alizowahi kutoa na hakuzitimiza).
CHADEMA ndio inapiga watu risasi kwa kung'ang'ania uenyekitiSasa unafikiri ataandika kwa Kiingereza cha kutoka wapi, hiki cha Chato kibovu hiki? Angetamani sana lkn hawezi, labda aige mtu risasi ndo anaweza kujaribujaribu
Mtu mwenyewe unaitwa Chiku "K", niongeze nini? StinkingCHADEMA ndio inapiga watu risasi kwa kung'ang'ania uenyekiti
Unajua maana ya "K" wewe?Mtu mwenyewe unaitwa Chiku "K", niongeze nini? Stinking
Ufipa ni genge la wahuni tu wala hawana la maana katika nchi hiiViongozi wa pale mtaa wa Ufipa ndio mental cases woooote kwa maana mwenyekiti wao hataki kutoka mwaka wa 20 sasa
Kwanini wee jamaa unapenda sana kupingana na serikali kwa kila jambo? Unajipenda kweli wee mchagga?Chadema wame relax wanaangalia how stupid y'all are...
Korona ipo,korona haipo...watu hawafi,watu wanakufa...hatutaki chanjo,tunataka chanjo...vaa barakoa,usivae barakoa....blah blah blah..
Unaona kabisa the whole government are clinically mental cases!
Ataandikwa kwa Kiswahili inatoshaIkibidi aandike kwa kisukuma huo ndio uzalendo
Tundu Lissu ndio mchawi mkuu wa chamaCHADEMA mpo kimya sasa hivi mnatafutana uchawi
Tundu Lissu ndio mchawi mkuu wa chamaCHADEMA mpo kimya sasa hivi mnatafutana uchawi
Huyo jamaa huwaga hana kabisa adabu kwa wenzio humu JF. Neno FVCKING kwake ni la kawaida sana. Sijui kabila gani?Hilo neno ni tusi kubwa sana mzee baba Soja
[emoji848][emoji848][emoji848] Hivi kweli hamna alichofanya?!! Any way nina Imani akiondoka mtampa sifa zake Kama mnavyofanya kwa JK.Ataandika nini kwenye hicho kitabu? Maana katika uongozi Hana Cha maana alichofanya zaidi ya watu kupotea.
JPM ni mwamba wa Afrika[emoji848][emoji848][emoji848] Hivi kweli hamna alichofanya?!! Any way nina Imani akiondoka mtampa sifa zake Kama mnavyofanya kwa JK.
Huyo ni mchagga Machame mojaHuyo jamaa huwaga hana kabisa adabu kwa wenzio humu JF. Neno FVCKING kwake ni la kawaida sana. Sijui kabila gani?
Una baba Rais kuanzia lini?Mkuu acha kumnanga Baba yetu.
Akifuatiwa na MnyikaTundu Lissu ndio mchawi mkuu wa chama