Press conference h.e.s.l.b

Press conference h.e.s.l.b

habari wana jf..... leo
bodi ya mikopo ya elimu ya juu imeitisha mkutano na waandishi wa habari
kwa taarifa zaidi usikose kufuatilia habari ya saa mbili usiku:source
mdimu's blog
Nawasilisha

kuna mdau kaniambia kaiona ch.5!
 
mkuu tukiona hilo jina wengine tunaogopa sana!!! Usije kutulipua na humu mkuu!!! Mimi niliona kwenye ule mkanda unaopita pale chini kwenye taarifa za tb-ccm wanasema bodi imeanza kutoa mikopo kwa wanachuo wa mwaka wa kwanza kama wanachuo 31,000 na ushee wameshapatiwa mikopo, sasa mimi nikachanganyikiwa mbona hizi taarifa hatujazipata kama kuna wenzetu tayari wameshapatiwa mikopo? Na kwa vile nina mzio na tb-ccm sikukaa kusubiria hiyo taarifa si mnajua tena hii tv ilishatutoka!!!!!!!!

Hapa naomba nieleweke kuwa nilikuwa kwenye harakati za ku-search tv bora ndo nikakumbana na hii habari ya tb-ccm, nilikuwa napita tu wakuu!!!!!!!!!

uko sahihi mana hata mimi nimeona nkashangaa kabisa hawa tbc
 
Vp híí wanafunz 300
kukosa mikopo elimu za juu..Nimeiskia kwenye magazeti leo..
Mwenye info kamili atujuze hapa tafadhali..
 
Mchakato wa kupanga mkopo utakamilika kwa asilimia 100 wiki tatu zijazo.
source
Gazeti la HABARI LEO tarehe 23september
 
Mchakato wa kupanga mkopo utakamilika kwa asilimia 100 wiki tatu zijazo.
source
Gazeti la HABARI LEO tarehe 23september

Kwa maelezo niliyoyapata ni kuwa hao wanafunz 300 ni wale waliokosea kuomba mkopo ikiwepo na pamoja kutowasilisha picha au kuweka sahihi na baada ya kuambiwa wakarekebishe pia walichelewa kwenda kurekebisha hope umenipata
 
Back
Top Bottom