Tetesi: Press Conference ya Chadema haitakuwa "LIVE"

Mpuuzi mwingine huyu hapa mwenye akili za kushikiwa.....
 
Huwa wakati mwingine natamani nikutukane, naomba unisamehe kwa mawazo yangu mabaya
Kama kwa kumtukana huyo jamaa hakunizuii kwenda mbinguni ngoja nikusaidie.
Hana akili kabisa.
Iweje jambo la aibu namna hiyo alishabikie?
OMBI; Walioko humo warekodi neno kwa neno kisha tamko zima liwe mtandaoni na litawafikia wengi tuu. Nimewachukia sana wanaozuia hayo
 
Huu ni utawala wa JPM , mlimfanya JK kama babu yenu. Utawala huu mtaishia kujamba tu.
Mtu mwenyewe MUOGA hivyo amjambishe nani? Anaishia kujamba mwenyewe tu kila akisikia neno chadema., Dodoma mpaka katoa tamko eti angewapoteza watu kisa imani na mtu, sasa anafikiria kuipoteza chadema?! Atajamba sana.
 
Mtu mwenyewe MUOGA hivyo amjambishe nani? Anaishia kujamba mwenyewe tu kila akisikia neno chadema., Dodoma mpaka katoa tamko eti angewapoteza watu kisa imani na mtu, sasa anafikiria kuipoteza chadema?! Atajamba sana.
Basi na rusheni live matamko yenu hayo tuone.
 
Hahahahahaaaa! CHADEMA bana! Kumbe hamna hata fedha za kurusha live mikutano yenu?
 
Niko sahihi na nitaendelea kuwa sahihi kutoipigia kura CCM.
 
Wajinga kweli hawa hawajui kuwa taarifa nzima itakuepo hapa jukwaani, washenzi kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…